Posted on: April 11th, 2023
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Ahmed Abbasi ameukabidhi Rasmi Mwenge wa Uhuru apirl 11,2023 kwa Mkuu wa Mkoa wa Lindi Bi Zainabu Taleck.
Mwenge wa Uhuru umekabidhiwa eneo la Nyangao Mkoani ...
Posted on: April 9th, 2023
Kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa Ndg Shaibu Abdallah Kaim apirl 9,2023 ameweka Jiwe la Msingi zahanati ya Kijiji cha Machombe Halmashauri ya Mji Masasi kata ya Marika.
Mradi huo ulianza ...
Posted on: April 9th, 2023
Kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa Ndg Abdallah Shaibu Kaim ameweka jiwe la Msingi Mradi wa Ujenzi wa barabara ya km 1-1 ya Tanesco -Yatima Halmasahauri ya Mji Msasi Mkoani Mtwara.
Mradi h...