• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

"WANAMASASI JIUNGENI NA HUDUMA YA UMEME KWA WINGI" MHE MWAMBE

Posted on: September 22nd, 2023

Mbunge wa Jimbo la Masasi Mjini Mhe.Geoffrey Mwambe amewaomba wananchi wote wa Jimbo la Masasi Mjini kuunganishiwa huduma ya umeme ili Tanesco wajuwe kuwa wanawateja wengi kwa maeneo ya vijijini.

“Natamani kila mwananchi wa jimbo langu aunganishiwe huduma ya umeme ili Tanesco wajuwe kuwa wanawateja wengi ili mapato yao yaongezeke yawe yakutosha na wao waweze kuhudumia Miundombinu ya Serikali ambayo imewekwa”Mwambe

Aidha Mwambe amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia suluhu Hassan kwa kuongeza Nguzo 40 za umeme kwa kila kijiji kilichopo Jimbo la Masasi Mji kwani ni bahati kubwa saana kwa wananchi wa Masasi.

“kwanza  wananchi wangu tunabahati saana Mhe.Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameongeza nguzo 40 kwa kila kijiji ili kuhakikisha huduma ya umeme inawafikia wananchi wote” Mwambe

Ameyasema hayo septemba 22,2023 katika  kijiji cha Namikunda kata ya Mumbaka halmashauri ya Mji Masasi  katika hafla ya Naibu waziri wa Nishati mhe.Judith Kapinga ya kuwasha umeme vijijini kupitia Mradi wa REA 111

Kwa upande wake Naibu waziri wa Nishati Mhe.Judithi Kapinga ameeleza kuwa Mkoa wa Serikali imetoa Billion 98 kwa ajili ya kusambaza umeme Halmashauri zote tisa (9)  na Halmashauri ya Mji Masasi wametumia zaidi ya billion 1 na Mkandarasi yuko saiti.

“Serikali imetumia zaidi ya billion 1 kwa na Mkandarasi yuko saiti na lengo letu Masasi Mji tunaenda kuunganisha na Gridi ya Taifa ,tunamshukuru Mhe. Rais  na tunategemea ndani ya miezi 18 mpango huu utakuwa umekamilika hivyo natoa rai ya wananchi kuwa na muamko wa kuvuta Nishati hii katika Nyumba zao”Mhe Judith.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • “VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA MKOA WA MTWARA TUWEKE KIPAUMBELE CHA UTOAJI WA HUDUMA ZA TIBA OKOVU NA HUDUMA MSINGI KWA WAGONJWA MAHUTUTI” RAS MTWARA.

    May 15, 2025
  • “WANANCHI TUJITOKEZE MKOMAINDO HOSPITALI KUPATA VIPIMO NA MATIBABU YA SARATANI BURE, SERIKALI IMELIPIA GHARAMA (SAMIA SULUHU OUTREACH SERVICES)” DC KASSANDA

    April 23, 2025
  • HISTORIA YAANDIKWA MASASI MJI, ZAIDI YA MILIONI 545 ZATOLEWA MWAKA HUU WA FEDHA 204/2025 KWA VIKUNDI 105 MIKOPO YA ASILIMIA 10.

    April 07, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA MASASI MJI WATOA ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA UGONJWA WA MPOX

    April 06, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.