• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

Mifugo na Uvuvi

UTANGULIZI:

Idara hii  ina jumla ya vitengo  viwili, kitengo cha mifugo na kitengo cha Uvuvi vyenye watumishi 21 Me19 Ke 2 kati yao watumishi kitengo cha Mifugo ni 20 Me19 Ke1 na kitengo cha Uvuvi yupo 1 Me 0 na Ke 1


MALENGO YA IDARA:

Lengo kubwa ni kuhakikisha wafugaji wanapata Elimu ya ufugaji bora wa kisasa na wenye tija ili kuongeza pato la kitaifa ili aondokane na umaskini.

VITENGO VYA IDARA NA MAJUKUMU YAKE:

1: MIFUGO:

  • · Kutoa Elimu ya ufugaji bora
  • · Kuandaa taarifa ya utekelezaji kila robo mwaka.
  • · Kutoa matibabu ya mifugo aina zote
  • · Kutoa chanjo ya mifugo 
  •   Kuunda vikundi vya wafugaji ili kuwafikishia huduma kwa urahisi
  • · Kufanya tafiti za magonjwa ya mifugo kwa kushirikiana na Taasisi mbalimbali 
  • · Kuhakikisha usalama wa nyama na walaji
  • · Kujenga miundombinu rafiki kwa wafugaji eg Majosho,Machinjio Marambo.
  • · Kudhibiti mifugo inayoingia na kutoka ili kuepuka magonjwa ya milipuko
  • · Kuhakikisha hakuna migogoro ya wafugaji na wadau wengine
  • · Kusimamia miongozo na sera katika sekta ya Mifugo
  • · Kusimamia matumizi ya raslimali za kitengo cha mifugo

2:  KITENGO CHA UVUVI:

  • · Kusimamia sera na kanuni za Uvuvi
  1. Kutoa Elimu ya ufugaji bora wa samaki
  2. · Kusimamia raslimali za uvuvi
  3. · Kuunda vikundi vya wafugaji wa samaki
  4. · Kuhamasisha ufugaji bora wa samaki na uvuvi endelevu
  5. · Kutoa vibali vya uvuvi na ukusanyaji wa samaki
  6. · Kuandaa taarifa ya kila robo mwaka


Ngombe wa Maziwa aina ya fresian ana uzito wa kg 500 Mwenye uwezo wa Kutoa lita 12 kwa siku.

HUDUMA MUHIMU ZITOLEWAZO MARA KWA MARA

· Uogeshaji mifugo

· Chanjo ya kuku dhidi ya ugonjwa wa Kideri

· Chanjo dhidi ya kichaa cha Mbwa

· Matibabu dhidi ya magonjwa mbalimbali ya mifugo

· Kutoa Elimu ya ufugaji bora

· Kutoa kinga na matibabu dhidi ya minyoo

· Kuhakikisha usalama wa nyama na walaji

· Kutoa Elimu ya ufugaji bora wa samaki

· Kutoa vibali vya uvuvi na ukusanyaji wa samaki

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • “WANANCHI TUJITOKEZE MKOMAINDO HOSPITALI KUPATA VIPIMO NA MATIBABU YA SARATANI BURE, SERIKALI IMELIPIA GHARAMA (SAMIA SULUHU OUTREACH SERVICES)” DC KASSANDA

    April 23, 2025
  • HISTORIA YAANDIKWA MASASI MJI, ZAIDI YA MILIONI 545 ZATOLEWA MWAKA HUU WA FEDHA 204/2025 KWA VIKUNDI 105 MIKOPO YA ASILIMIA 10.

    April 07, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA MASASI MJI WATOA ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA UGONJWA WA MPOX

    April 06, 2025
  • .STANDI YA MAEGESHO YALETA FURSA KWA WANANCHI MASASI.

    March 22, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.