• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

ZINGATIENI MATUMIZI YA POS

Posted on: January 21st, 2023


Mkuu wa wilaya ya  Nanyumbu  Bi Mariamu Chaurembo kwa niaba ya Mkuu wa wilaya ya Masasi Bi Claudia Kitta amewaomba wasimamizi wa ukusanyaji wa Mapato Halmashauri ya Mji  Masasi Mkoani Mtwara kuzingatia Matumizi ya Mashine ya POS kwa maeneo yote ya ukusanyaji wa mapato  na kuwasimamia wakusanyaji wa mapato hayo kwa kufuata sheria ili Mapato yaweze kuongezeka katika Halmashauri hiyo.

Ameyasema hayo katika Mkutano wa Baraza la Madiwani wa kupiitia na kujadili Rasimu ya Bajeti kwa mwaka wa Fedha 2023/2024  uliofanyika Januari 21,2023 katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya Mji Masasi.

Aidha Bi Chaurembo amewapongeza Madiwani na wataalam wote kwa  kufanya  kwa asilimia 100 ,hivyo amewashauri kuwa timu moja ili kurahisisha utendaji kazi na utekelezaji wa shughuli mbalimbali za Maendelei ya Halmashauari ya Mji.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bi Mariam Kasembe ametoa pongezi kwa Menijimenti yote kwa kuzingatia vipaumbele Muhimu na vinavyogusa maslahi ya wanajamii wa Masasi kwa kupitia bajeti iliyotengwa ya mwaka 2023/2024 kwani ni moja ya mafanikio katika Maendeleo.

  Bajeti ya Halmashauri ya Mji Masasi  kwa mwaka wa fedha 2023/2024  imekisia kukusanya na kupokea  jumla ya  Shilingi  24,015,608,000.00  kati ya fedha hizo Mapato ya Ndani ni Shilingi 2,855,980,500.00 Ruzuku na Matumizi ya kawaida na Mishahara ni Shilingi 15,737,987,000  na Miradi  ya Maendeleo ni Shilingi 8,277,621,400.00 .

  

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • TUSHIRIKIANE KUTOKOMEZA VITENDO VYA UKATILI DC MASASI

    March 08, 2023
  • ZINGATIENI MATUMIZI YA POS

    January 21, 2023
  • BARAZA LA MADIWANI LIMEPITISHA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 24 HALMASHAURI YA MJI MASASI.

    January 21, 2023
  • KIKAO CHA KAMATI YA USHAURI HALMASHAURI YA MJI MASASI (DCC)

    January 20, 2023
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.