• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

MKUTANO WA KWANZA WA BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA MJI MASASI WAFANYIKA

Posted on: December 2nd, 2025

- Madiwani  waapishwa kuanza kazi

- Mhe. Sospeter Pesivo Nachunga achaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Halmashauri

-Mhe. Omari Saidi Omari amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri.

- Kamati za kudumu zaundwa

Mkutano wa kwanza wa Halmashauri ya Mji Masasi umefanyika Desemba O2, 2025 katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ambapo Madiwani wameapishwa tayari kuanza majukumu yao kwa kipindi cha Miaka Mitano.

Katika Mkutano huo umefanyika Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Halmashauri ambapo  Katibu Tawala Wilaya ya Masasi Bi. Fatima Kubenea  alimtangaza Mhe. Sospeter Pesivo Nachunga, Diwani kata ya Napupa  kuwa mshindi wa nafasi mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Masasi baada ya kupata kura zote 19 za Ndio.

Aidha Mhe. Omari Saidi Omari amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri.Kamati za kudumu za Halmashauri zimeundwa huku Mheshimiwa Mwenyekiti akitaja vipaumbele vyake ikiwemo ukusanyaji wa Mapato ya ndani, uwajibikaji na mahusiano bora kati ya Watumishi na Waheshimiwa Madiwani.

Mkuu wa Wilaya ya Masasi Mhe. Rachel Kassanda amewapongeza waheshimiwa madiwani kwa kuchaguliwa huku akiwahimiza kwenda kuhamasisha usafi wa mazingira kwenye kata zao.

Mkurugenzi wa Mji Masasi Ndg. Reuben Sixbert Jichabu amesema wanakwenda kutoa ushirikiano bora kwa Baraza hilo na kutekeleza maagizo na ushauri wowote wenye tija kwa wananchi.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA MJI MASASI 2025-2030

    December 03, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAMPONGEZA MKURUGENZI JICHABU UNUNUZI WA RTK NA KUPELEKA FEDHA ZA MAPATO YA NDANI KWENYE MIRADI YOTE ILIYOTENGEWA FEDHA 2025/2026

    December 02, 2025
  • MKUTANO WA KWANZA WA BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA MJI MASASI WAFANYIKA

    December 02, 2025
  • MPYA: HUDUMA ZA KIBINGWA KUTOLEWA MUDA WOTE HOSPITALI YA MKOMAINDO

    November 28, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.