• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

WAZIRI JENESTA MHAGAMA AIPONGEZA TASAF HALMASHAURI YA MJI MASASI

Posted on: December 14th, 2022

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama amesema, Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) umetekeleza maelekezo ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ya kujenga barabara zenye urefu wa kilometa 1.6 kwa gharama nafuu katika Kijiji cha Nangose, Kata ya Temeke, Halmashauri ya Mji wa Masasi ambazo hazikuwahi kujengwa tangu taifa lipate uhuru.

Mhe. Jenista amesema hayo wakati akizungumza na walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini na wananchi wa Kijiji cha Nangose mara baada ya kukagua barabara hizo zilizojengwa na TASAF kupitia mradi wa ajira za muda.

Mhe. Jenista amesema, Serikali ya Awamu ya Sita imeweza kujenga barabara zenye urefu wa Kilometa 1.6 katika Kijiji cha Nangose, ambapo tangu nchi ipate uhuru hakukuwa na barabara zaidi ya kuwepo na njia za miguu ambazo zilikuwa ni kikwazo cha kijiji hicho kupata maendeleo.

“Barabara hizi zimejengwa kupitia mradi wa ajira za muda kwa gharama nafuu sana ambayo ni kiasi cha shilingi milioni 3.6, ambapo fedha hiyo ililipwa kwa walengwa wa TASAF waliokuwa wakifanya kazi kwenye mradi wa ujenzi wa barabara hizo,” Mhe. Mhagama amefafanua

.Katika kuhakikisha barabara hizo zinakuwa na tija kwa maendeleo ya wananchi katika kijiji hicho, Mhe. Mhagama amemtaka Meneja wa TARURA Halmashauri ya Mji Masasi kuimarisha barabara hizo ili zitumike kwa muda mrefu na kuwa chachu ya maendeleo katika Kijiji cha Nangose.

Mkuu wa Wilaya ya Masasi, Mhe. Claudia Kitta amesema kuwa wananchi wa Kijiji cha Nangose ambao ni walengwa wa TASAF wamefanya kazi ya ujenzi wa barabara hizo zenye urefu wa kilomita 1.6 kupitia mradi wa ajira za muda, na kuongeza kuwa katika Halmashauri ya Mji Masasi zipo barabara 40 ambazo zimejengwa na TASAF kupitia mradi huo wa ajira za muda.

Akizungumza kwa niaba ya wananchi wa Kijiji cha Nangose, Diwani wa Kata ya Temeke Mhe. Frank Malanjila amesema kabla ya TASAF kuwezesha ujenzi wa barabara katika kata yake, kulikuwa na changamoto kubwa lakini kwasasa barabara zilizojengwa zimeunganisha vijiji na kuwawezesha wananchi kutoka eneo moja kwenda jingine, ikiwa ni pamoja na kusafirisha bidhaa na mazao yao kwa urahisi tofauti na ilivyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • “VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA MKOA WA MTWARA TUWEKE KIPAUMBELE CHA UTOAJI WA HUDUMA ZA TIBA OKOVU NA HUDUMA MSINGI KWA WAGONJWA MAHUTUTI” RAS MTWARA.

    May 15, 2025
  • “WANANCHI TUJITOKEZE MKOMAINDO HOSPITALI KUPATA VIPIMO NA MATIBABU YA SARATANI BURE, SERIKALI IMELIPIA GHARAMA (SAMIA SULUHU OUTREACH SERVICES)” DC KASSANDA

    April 23, 2025
  • HISTORIA YAANDIKWA MASASI MJI, ZAIDI YA MILIONI 545 ZATOLEWA MWAKA HUU WA FEDHA 204/2025 KWA VIKUNDI 105 MIKOPO YA ASILIMIA 10.

    April 07, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA MASASI MJI WATOA ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA UGONJWA WA MPOX

    April 06, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.