• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

WANUFAIKA WA TASAF MASASI MJI WAMPONGEZA MKURUGENZI ERICA YEGELLA

Posted on: July 15th, 2023


Wazee wanufaika wa TASAF Halmashauri ya Masasi Mji wampongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mji wa Masasi Bi Erica Yegella kwa utendaji wake kazi baada ya kuita kwenye kikao chake na Wazee leo Julai 14'2023.

Kikao hicho kimehudhuriwa na mgeni rasmi Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM Mkoa wa Mtwara Cde Julius Kaondo, Mbunge wa Jimbo la Masasi Mheshimiwa Geofrey Mwambe pamoja na Katibu Tawala Wilaya ya Masasi Bi Fatma Kubenea.

Hayo yamesemwa na Wazee wanufaika wa TASAF ambao wamekiri kuwa ni mara yao ya kwanza kuwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Masasi Mji aliweza kuwaita na kufanya nao mazungumzo. 

Katika kikao hicho Mkurugenzi Bi Erica Yegella ameleza lengo la kikao hicho kupata uelewa wa kuhusu TASAF na namna Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan inavyowajibika na kutekeleza majukumu yake ikiwemo kwa wanufaika wa TASAF. 

Aidha kwa mujibu wa Mkuu wa kitengo cha TASAF Halmashauri ya Masasi Mji ndugu Amiry Nyiruka mpaka sasa zaidi ya walengwa 5431 wa TASAF wamenufaika na afua mbalimbali za miradi ya TASAF katika Halmashauri hiyo. 

Kwa upande wake Mgeni Rasmi Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Mtwara Ndugu Julius Kaondo amewataka Wazee hao kutambua jitihada za Serikali inaongozwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan @samia_suluhu_hassan inavyowajibika kutatua na kusaidia jamii ya wana TASAF. 

Naye Katibu Tawala wa wilaya ya Masasi Bi Fatma Kubenea amewataka waxes hao kuendelea kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan @samia_suluhu_hassan ikiwa pamoja na Kumuombea ili aweze kuendelea kuwatumikia Wazee hao.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • “VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA MKOA WA MTWARA TUWEKE KIPAUMBELE CHA UTOAJI WA HUDUMA ZA TIBA OKOVU NA HUDUMA MSINGI KWA WAGONJWA MAHUTUTI” RAS MTWARA.

    May 15, 2025
  • “WANANCHI TUJITOKEZE MKOMAINDO HOSPITALI KUPATA VIPIMO NA MATIBABU YA SARATANI BURE, SERIKALI IMELIPIA GHARAMA (SAMIA SULUHU OUTREACH SERVICES)” DC KASSANDA

    April 23, 2025
  • HISTORIA YAANDIKWA MASASI MJI, ZAIDI YA MILIONI 545 ZATOLEWA MWAKA HUU WA FEDHA 204/2025 KWA VIKUNDI 105 MIKOPO YA ASILIMIA 10.

    April 07, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA MASASI MJI WATOA ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA UGONJWA WA MPOX

    April 06, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.