• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

WANAFUNZI AWALI NA MSINGI WAPATA ELIMU YA UHIFADHI WA MAZINGIRA KUTOKA KITUO CHA KUTOLEA ELIMU YA MAZINGIRA MASASI MJI.

Posted on: March 21st, 2025

Wanafunzi wa Shule ya Awali na Msingi Prophina Machi 21, 2025 wametembelea kituo cha kutolea elimu ya mazingira Halmashauri ya Mji Masasi kwa lengo la kujifunza uhifadhi na utunzaji wa mazingira.


Akizungumza mara baada ya kupokea ugeni huo Meneja wa Kituo cha Kutolea elimu ya Mazingira, Bi. Catherine Tendeje amesema watoto ni kizazi bora cha kesho hivyo ni muhimu kupata elimu ya uhifadhi wa mazingira wakiwa watoto.

“watoto hawa wamejifunza mambo mbalimbali ya uhifadhi na utunzaji wa mazingira kupitia picha mbalimbali zilizopo katika kituo chetu, wamejifunza pia namna ya utunzaji wa miti ya matunda, kivuli na urembo.

Aidha Bi. Catherine ametoa rai kwa shule binafsi na za Serikali kutembelea kituo hicho kwa ajili ya kujifunza elimu ya mazingira itakayosaidia kukabiliana na changamoto za mabadiliko ya tabia ya nchi kwa manufaa ya kizazi cha sasa na baadae.

Naye, Mwalimu Mkuu wa Shule ya Awali na Msingi Prophina Mwl. Reeves Oliver amesema kuwa wao kama shule wamejifunza mambo mengi sana ikiwemo umuhimu wa kutunza mazingira pia madhara yanayoweza kutokea endapo mazingira yataharibiwa na namna gani mazingira hayo yanaweza kutunzwa.

Kituo cha Elimu ya Mazingira ni mradi wa ushirikiano kati ya Halmashauri ya Mji Masasi na Wilaya ya Enzkreis ya Nchini Ujerumani unaotekelezwa kwa malengo ya kutoa Elimu ya mazingira kwa vitendo kwa makundi mbalimbali ikiwemo wanafunzi wa shule za Msingi na Sekondari, Vyuo na Jamii kwa ujumla.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • “WANANCHI TUJITOKEZE MKOMAINDO HOSPITALI KUPATA VIPIMO NA MATIBABU YA SARATANI BURE, SERIKALI IMELIPIA GHARAMA (SAMIA SULUHU OUTREACH SERVICES)” DC KASSANDA

    April 23, 2025
  • HISTORIA YAANDIKWA MASASI MJI, ZAIDI YA MILIONI 545 ZATOLEWA MWAKA HUU WA FEDHA 204/2025 KWA VIKUNDI 105 MIKOPO YA ASILIMIA 10.

    April 07, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA MASASI MJI WATOA ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA UGONJWA WA MPOX

    April 06, 2025
  • .STANDI YA MAEGESHO YALETA FURSA KWA WANANCHI MASASI.

    March 22, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.