• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

“VYAMA VYA SIASA TUZINGATIE SHERIA ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA” OFISI YA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA.

Posted on: October 23rd, 2024

Vyama vya Siasa wilayani Masasi mkoani Mtwara vimetakiwa kuzingatia Sheria za Nchi zikiwemo sheria za Uchaguzi na sheria zote zinazosimamiwa na ofisi ya msajili wa Vyama vya Siasa ili kudumisha amani, utulivu na uzalendo katika kipindi hichi cha uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024.

 Hayo yamebainishwa Oktoba 23, 2024 katika kikao cha elimu kwa umma kilichotolewa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kuhusu sheria zinazosimamiwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

 Afisa Usajili kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa Ndg. Zabron Nswila amesema katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa inajukumu la kutoa elimu kwa umma kuhusu Sheria zinazosimamiwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa katika maeneo yanayohusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa sambamba na kuwa kiungo kati ya Serikali na vyama vya siasa. 

 Aidha amesema katika kipindi hiki cha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Msajili wa Vyama vya Kisiasa ni kiungo kati ya Serikali na vyama vya siasa.

Msimamizi Msaidizi Halmashauri ya Mji Masasi Ndg. Prosper Luambano amesema vyama vya siasa ni wadau muhimu katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kwamba ni muhimu vyama vya siasa kuzingatia wajibu wao ikiwemo kuzingatia sheria, kanuni na miongozo ya uchaguzi ili kudumisha ushiriki wa uchaguzi ambalo ni jukumu la msingi la chama cha siasa, kuboresha uhusiano mzuri baina ya wadau, utii wa sheria bila shuruti, uvumilivu wa kisiasa na kudumisha amani, utulivu na uzalendo.

 Kikao hicho kilichofanyika ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi Halmashauri ya Mji Masasi kilihusisha  Wenyeviti na Makatibu vyama vya siasa kutoka Wilaya ya Masasi. 

 

 

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • “VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA MKOA WA MTWARA TUWEKE KIPAUMBELE CHA UTOAJI WA HUDUMA ZA TIBA OKOVU NA HUDUMA MSINGI KWA WAGONJWA MAHUTUTI” RAS MTWARA.

    May 15, 2025
  • “WANANCHI TUJITOKEZE MKOMAINDO HOSPITALI KUPATA VIPIMO NA MATIBABU YA SARATANI BURE, SERIKALI IMELIPIA GHARAMA (SAMIA SULUHU OUTREACH SERVICES)” DC KASSANDA

    April 23, 2025
  • HISTORIA YAANDIKWA MASASI MJI, ZAIDI YA MILIONI 545 ZATOLEWA MWAKA HUU WA FEDHA 204/2025 KWA VIKUNDI 105 MIKOPO YA ASILIMIA 10.

    April 07, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA MASASI MJI WATOA ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA UGONJWA WA MPOX

    April 06, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.