• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

“USHIRIKIANO WETU UNA MANUFAA MAKUBWA KWENYE UTEKELEZAJI WA MAENDELEO,” BI. ERICA YEGELLA.

Posted on: July 24th, 2023


Mkurugenzi Halmashauri ya Mji wa Masasi, Bi. Erica Yegella amesema ushirikiano uliopo baina ya Halmashauri ya Enzkreis ya Nchini Ujerumani na Masasi Mji una manufaa makubwa katika utekelezaji wa maendeleo yaliyolengwa katika sekta ya afya, elimu, matumizi ya sola na utunzaji mazingira kwa wananchi.

Amesema ushirikiano huo unazidi kuimarika zaidi kutokana na uhusiano bora uliopo na utazidi kuimarika kimaendeleo kwa manufaa ya halmashauri ya Mji Masasi.

Amesema hayo Julai 24,2023 katika hafla fupi ya kuwakaribisha viongozi wa Halmashauri ya Enzkreis aliyoiandaa na kufanyika nyumbani kwa Mkurugenzi majira ya Jioni na kuhudhuriwa na  Wakuu wa Idara na Vitengo, Viongozi kutoka Enzkreis, Wafanyabiashara, na watumishi mbalimbali.

Aidha katika hafla hiyo, alimshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika sekta ya Elimu, afya, nishati, kilimo, uvuvi  na miradi mbalimbali yenye malengo ya kudumisha maisha ya watanzania.

“ Ushirikiano uliopo baina yetu, unatokana na matunda  bora yanayotengenezwa na Jemedari wetu, Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ambaye anaendelea kutekeleza miradi mingi ya maendeleo kwa watanzania, lakini pia balozi wa Ujerumani hapa Nchini kwa kuendelea kuimarisha mahusiano bora ya kimataifa” Bi. Erica Yegella

Kwa upande wake, Makamu wa Rais Halmashauri ya Enzkreis ya Nchini Ujerumani, Dkt. Hilde Neidhardt amesema mapokezi waliyoyapata katika awamu hii ni yakitofauti na yakipekee.

Amesema ushirikiano huo ulioanza miaka 12 iliyopita utazidi kuimarishwa kwa kutekeleza miradi mingi ya maendeleo iliyopo na inayotarajiwa kuanzishwa baina ya halmashauri zenye ushirika.

Ujumbe kutoka Halmashauri ya Enzkreis nchini Ujerumani umeongozwa na Makamu wa Rais wa Enzkreis, Dkt. Hilde Neidhardt, mratibu wa ushirikiano huo, Bi. Angela Gewiese, Frank Stephan, Dkt. Jannis Hoek, Melissa Gewiese na Dkt. Till Neugebauer.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • “VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA MKOA WA MTWARA TUWEKE KIPAUMBELE CHA UTOAJI WA HUDUMA ZA TIBA OKOVU NA HUDUMA MSINGI KWA WAGONJWA MAHUTUTI” RAS MTWARA.

    May 15, 2025
  • “WANANCHI TUJITOKEZE MKOMAINDO HOSPITALI KUPATA VIPIMO NA MATIBABU YA SARATANI BURE, SERIKALI IMELIPIA GHARAMA (SAMIA SULUHU OUTREACH SERVICES)” DC KASSANDA

    April 23, 2025
  • HISTORIA YAANDIKWA MASASI MJI, ZAIDI YA MILIONI 545 ZATOLEWA MWAKA HUU WA FEDHA 204/2025 KWA VIKUNDI 105 MIKOPO YA ASILIMIA 10.

    April 07, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA MASASI MJI WATOA ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA UGONJWA WA MPOX

    April 06, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.