• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

“TUBORESHE NJIA ZA UKUSANYAJI WA MAPATO” MKURUGENZI ERICA YEGELLA

Posted on: July 11th, 2023

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Masasi, Bi. Erica Yegella amewataka watumishi wa umma kufanya kazi kwa ufanisi na weledi ili kuongeza tija katika utendaji kazi hususani katika ukusanyaji wa mapato.

Bi. Yegella amesema ukusanyaji wa mapato ndio chachu ya maendeleo  na hivyo kuwataka watumishi wote kushirikiana kikamilifu ili kutimiza lengo hilo.

Amesema hayo July 10, 2023 wakati akizungumza na watumishi wa halmashauri ya mji masasi katika ukumbi wa mikutano uliopo katika jengo la utawala katika halmashauri hiyo.

“Kwenye upande wa mapato mweka hazina na timu yako na wakuu wa Idara na Vitengo nyinyi nyote mnahusika kwenye ukusanyaji wa mapato, shule zetu za private zinatakiwa zitoe mapato, hospitali zetu, maduka yetu, viwanda nk. vinatakiwa vitoe mapato vyote mviainishe vizuri” amesema

Mkurugenzi Yegella ameagiza kuwekwa kwa mageti  ya chuma katika vipenyo vikuu vya barabara ili  kuhakikisha lengo la ukusanyaji mapato linafanikiwa kwa ufanisi.

 “..na sasa hivi afisa utumishi mjipange mnaweka mageti mangapi katika vipenyo vikuu, kwasababu ukusanyaji wa mapato ndio kiu yangu” amesema

Aidha ameyataka  mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) kuhakikisha yanazingatia taratibu, kanuni na sheria hususani katika kudumisha maadili ya kitanzania.

“kwa upande wa NGOs zote zinazofanya kazi katika shule zetu tuzijue , zisimamiwe na tujue wanafundisha nini kwa watoto wetu na tuzijue na ziwe zimesajiliwa, NGOs ambazo hazijasajiliwa hazitaruhusiwa katika halmashauri yetu” amesema

Kwa upande wao watumishi wameahidi kutoa ushirikiano wa dhati kwa Mkurugenzi wa halmashauri ili kuhakikisha dhamira na malengo ya halmashauri yanatimia kwa ukamilifu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • “VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA MKOA WA MTWARA TUWEKE KIPAUMBELE CHA UTOAJI WA HUDUMA ZA TIBA OKOVU NA HUDUMA MSINGI KWA WAGONJWA MAHUTUTI” RAS MTWARA.

    May 15, 2025
  • “WANANCHI TUJITOKEZE MKOMAINDO HOSPITALI KUPATA VIPIMO NA MATIBABU YA SARATANI BURE, SERIKALI IMELIPIA GHARAMA (SAMIA SULUHU OUTREACH SERVICES)” DC KASSANDA

    April 23, 2025
  • HISTORIA YAANDIKWA MASASI MJI, ZAIDI YA MILIONI 545 ZATOLEWA MWAKA HUU WA FEDHA 204/2025 KWA VIKUNDI 105 MIKOPO YA ASILIMIA 10.

    April 07, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA MASASI MJI WATOA ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA UGONJWA WA MPOX

    April 06, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.