• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

RC MTWARA ARIDHISHWA NA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI MATAWALE, AWAHIMIZA WANAFUNZI KUSOMA KWA BIDII

Posted on: June 11th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Kanali Patrick Sawala amekagua na kuridhishwa na utekelezaji wa mradi wa shule mpya ya sekondari ya Matawale uliogharimu zaidi ya Tsh milioni 560 ambapo amewahimiza wanafunzi kusoma kwa bidii na nidhamu ili waweze kufaulu na kusaidia familia na jamii.

Akizungumza na wanafunzi wa shule mpya ya sekondari Matawale leo Juni 11, 2025 katika ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo akiwa ameambatana na kamati ya ulinzi na Usalama ya Mkoa amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa fedha katika ujenzi wa shule za sekondari ikiwemo Matawale ili kusaidia wanafunzi kuacha kutembea umbali mrefu hivyo ni wajibu wao kusoma kwa bidii na kufaulu.

Miradi iliyokaguliwa ni miradi ya sekta ya elimu ambapo amekagua shule mpya ya Sekondari Matawale iliyogharimu kiasi cha zaidi ya Tsh Milioni 560 na Shule ya Amali Marika iliyogharimu kiasi cha Tsh bilioni 1.6 ambapo amehimiza kasi zaidi ya utekelezaji wa mradi huo.

Viongozi mbalimbali wameambatana katika ziara hiyo ikiwemo Kamati ya ulinzi na Usalama ya Mkoa, Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Masasi Mhe. Rachel Kassanda, Mkurugenzi wa Mji Masasi Ndg. Reuben Sixbert Jichabu, Waheshimiwa Madiwani, Wakuu wa Idara na Vitengo na Wananchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • DC MASASI MHE. KASSANDA AKABIDHI ZAWADI KWA WAGONJWA HOSPITALI YA MKOMAINDO, ASEMA DKT SAMIA AMEWAPA TABASAMU KUPITIA “SAMIA BONANZA MASASI”

    June 15, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MASASI YANG’ARA KITAIFA KWENYE MASHINDANO YA STADI ZA UFUNDISHAJI WA SOMO LA SAYANSI KWA SHULE ZA MSINGI.

    June 14, 2025
  • RC MTWARA ARIDHISHWA NA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI MATAWALE, AWAHIMIZA WANAFUNZI KUSOMA KWA BIDII

    June 11, 2025
  • “VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA MKOA WA MTWARA TUWEKE KIPAUMBELE CHA UTOAJI WA HUDUMA ZA TIBA OKOVU NA HUDUMA MSINGI KWA WAGONJWA MAHUTUTI” RAS MTWARA.

    May 15, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.