• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI ATANGAZA MATOKEO YA NAFASI YA UBUNGE JIMBO LA MASASI MJINI.

Posted on: October 31st, 2025

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Masasi Mjini Ndg. Prosper R. Luambano amemtangaza DKT. LEONARD DOUGLAS AKWILAPO kutoka CCM kuwa mshindi wa kiti wa Ubunge Jimbo la Masasi Mjini baada ya kupata jumla ya kura 58615.

Aidha ametangaza matokea ya kura ya wagombea Ubunge Jimbo la Masasi Mjini kama ifuatavyo;

Ahmadi Musa Nannyoho Kutoka N.L.D amepata jumla ya kura 216.

Salum Ahuni Mwinyikheri kutoka CUF amepata jumla ya kura 982.

Zawadi Mustafa Nayopa kutoka AAFP amepata jumla ya  kura 313.

Maimuna Hafidhi Maliki kutoka ACT-Wazalendo amepata jumla ya kura 681.

Na Steward Ernest Kaking kutoka CHAUMMA amepata jumla ya kura 978.

Amesema shughuli za Uchanguzi Jimbo la Masasi Mjini zimefanyika kwa utulivu na amani pasipo kukutana na changamoto yoyote kubwa kutoka na ushirikiano bora kutoka vyama vya siasa, muitikio wa wananchi na wadau mbalimbali ikiwemo vyombo vya ulinzi na usalama.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • "TUTAENDELEA KUIMARISHA ZAIDI USHIRIKIANO WETU NA ENZKREIS" NDG. JICHABU

    November 24, 2025
  • RIPOTI ZA MIRADI

    November 18, 2025
  • MSIMAMIZI WA UCHAGUZI ATANGAZA MATOKEO YA NAFASI YA UBUNGE JIMBO LA MASASI MJINI.

    October 31, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI NA MAKARANI WAONGOZAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA UCHAGUZI MKUU 2025

    October 21, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.