• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

MKURUGENZI NDG. JICHABU AKABIDHIWA RASMI OFISI NA BI. YEGELLA

Posted on: October 2nd, 2023

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Masasi, Bi. Erica Yegella amekabidhi rasmi ofisi kwa Mkurugenzi mpya Ndg. Reuben Sixbert Jichabu Octoba 2, 2023.

Hafla ya makabidhiano imefanyika katika Ukumbi wa Jengo la Utawala Halmashauri ya Mji Masasi, ikishuhudiwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji, Mhe. Hashim Namtumba, Mbunge wa Jimbo la Masasi Mjini Mhe. Geoffrey Mwambe, Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya, Viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Viongozi wa Jumuiya ya wafanyabiashara, Wazee wa mila, Wakuu wa Idara na Vitengo.

Katika hafla hiyo, Mkurugenzi mpya wa Halmashauri Ndg. Jichabu amemshukuru Mhe, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kumuamini na kumteua kuwa Mkurugenzi wa Mji Masasi huku akiahidi kutoa ushirikiano wa dhati wa watumishi, viongozi na wananchi wote.

Aidha amesema halmashauri itakwenda kukusanya mapato kwa mujibu wa kanuni, taratibu, sheria na miongozo ili utekelezaji wa miradi ya maendeleo uweze kutimia na kukamilika kwa wakati.

"“Miradi yote tuliyokabidhiwa tutaifanya kwa kasi na muda uliokusudiwa, tunakwenda kukusanya mapato, ninaomba mnipe ushirikiano, napenda kutumia akili zaidi, halmashauri hii tunahitaji kukusanya mapato ili shughuli za maendeleo ziendelee, tupo tayari kutatua changamoto zote za wananchi”

Kwa upande wake Bi. Yegella amemshukuru Mhe. Rais kwa Kumuamini katika nafasi mbalimbali za uteuzi huku akibainisha kuwa halmashauri inaendelea na utekelezaji wa miradi ya maendeleo ambayo fedha ipo kamilifu kama ujenzi wa shule ya Jida, shule ya sekondari Temeke ( nyumba ya walimu 2 in 1), hospitali ya Mkomaindo na shule ya Sekondari ya Wasichana ya Masasi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • “VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA MKOA WA MTWARA TUWEKE KIPAUMBELE CHA UTOAJI WA HUDUMA ZA TIBA OKOVU NA HUDUMA MSINGI KWA WAGONJWA MAHUTUTI” RAS MTWARA.

    May 15, 2025
  • “WANANCHI TUJITOKEZE MKOMAINDO HOSPITALI KUPATA VIPIMO NA MATIBABU YA SARATANI BURE, SERIKALI IMELIPIA GHARAMA (SAMIA SULUHU OUTREACH SERVICES)” DC KASSANDA

    April 23, 2025
  • HISTORIA YAANDIKWA MASASI MJI, ZAIDI YA MILIONI 545 ZATOLEWA MWAKA HUU WA FEDHA 204/2025 KWA VIKUNDI 105 MIKOPO YA ASILIMIA 10.

    April 07, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA MASASI MJI WATOA ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA UGONJWA WA MPOX

    April 06, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.