• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

Mkopo wa milioni 59.5 watolewa tena kwa vikundi vya ujasiriamali Masasi Mji

Posted on: July 2nd, 2019

Julai 1, 2019  Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Masasi Bi.Gimbana Ntavyo  wakiambata na Katibu Tawala  Wilaya ya Masasi Ndg.Azizi Fakhi, Kaimu mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Masasi Mhe.Mbaraka Kodo pamoja na Katibu wa  CCM Wilaya ya Masasi Ndg. Shaibu Mtawa    walikabidhi mkopo wa TZS.59,500,000 ikiwa ni  sehemu ya  asilimia 10% ya mapato ya ndani ya Halmashauri  kwa mwaka wa fedha 2018/2019 kwa vikundi vya ujasiriamali vya Vijana, Wanawake na watu wenye ulemavu.

Awali Halmashauri ya Mji Masasi ilitoa mkopo wenye thamani ya TZS 20,000,000 kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu na hivyo kufanya jumla ya mkopo uliotolewa kwa mwaka wa fedha 2018/2019 kuwa TZS 79,500,000 ikiwa ni 10% ya mapato ya ndani.

 Vikundi vilivyo nufaika na mkopo huo ni  vikundi vya walemavu TZS.6,500,000/=, vikundi vya wanawake TZS.21,500,000/= pamoja na vikundi vya vijana ambao walikabidhiwa pikikpiki kumi na nne(14) zenye thamani ya  TZS.31,500,000/=

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Masasi Bi.Gimbana Ntavyo alieleza kuwa Halmashauri ya Mji Masasi haipo nyuma kutekeleza Ilani ya chama cha Mapinduzi  kwa kuwa ndio chama tawala kilichoshinda uchaguzi wa mwaka 2015

Pia  Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Masasi asisitiza  mambo yafuatayo kwa vikundi hivyo,

Kwamba, “vijana wa kike wachangamkie fursa hii kwa kuwa wengi wao bado mwamko wao ni mdogo”pia alisema kuwa kila mwanakikundi awe na kitambulisho cha ujasiriamali.

Wakati wa kukabidhi hundi za mkopo huo wa thamani ya TZS.59,500,000/=, Katibu Tawala Wilaya ya Masasi Ndg.Azizi alisisitiza  kuwa maafisa maendeleo ya jamii wajipange kuhamasisha vijana wa kike waunde vikundi na kupata mikopo na wanaopata mkopo ni lazima wawe na nidhamu ya pesa ili wamudu kufanya marejesho.

Kwa upande  mwingine  Katibu Tawala Ndg.Azizi Fakhi alipokuwa akikabidhi pikipiki  kwa vikundi hivyo aliwashauri vijana wa bodaboda wafanye kazi kwa kuzingatia sheria za usalama barabarani na wasiendeshe wakiwa wamelewa.

Mwisho Katibu wa  CCM Wilaya ya Masasi Ndg.Shaibu Mtawa alimpompongeza   Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Masasi Bi.Gimbana Ntavyo kwa kazi kubwa  inayoifanya katika  kutekeleza ilani ya Chama Cha Mapindi (CCM).

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • “VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA MKOA WA MTWARA TUWEKE KIPAUMBELE CHA UTOAJI WA HUDUMA ZA TIBA OKOVU NA HUDUMA MSINGI KWA WAGONJWA MAHUTUTI” RAS MTWARA.

    May 15, 2025
  • “WANANCHI TUJITOKEZE MKOMAINDO HOSPITALI KUPATA VIPIMO NA MATIBABU YA SARATANI BURE, SERIKALI IMELIPIA GHARAMA (SAMIA SULUHU OUTREACH SERVICES)” DC KASSANDA

    April 23, 2025
  • HISTORIA YAANDIKWA MASASI MJI, ZAIDI YA MILIONI 545 ZATOLEWA MWAKA HUU WA FEDHA 204/2025 KWA VIKUNDI 105 MIKOPO YA ASILIMIA 10.

    April 07, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA MASASI MJI WATOA ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA UGONJWA WA MPOX

    April 06, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.