• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

Masasi TC yapongezwa Ujenzi Vyumba vya Madarasa

Posted on: November 28th, 2021

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano –Masasi Mji

Mhe.Festo Ndugange (Mb), Naibu Waziri  OR-TAMISEMI amepongeza hatua zinazochukuliwa na uongozi wa Halmashauria ya Mji Masasi wakiongozwa na Mkurugenzi wake Ndg. Elias Ntiruhungwa  katika usimamizi wa miradi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa inayotekelezwa chini ya programu ya Maendeleo ya Jamii na Mapambano dhidi ya UVIKO 19.

Mhe.Ndugange ametoa pongezi hizo wakati alipotembelea ujenzi wa miradi hiyo leo tarehe 27/11/2021 katika vituo vitatu tofauti ambavyo ni Shue ya Sekondari ya Wasichana Masasi, shule ya Sekondari ya kutwa Anna Abdallah na kituo kipya cha afya kinachojengwa Kata ya Mtandi.

Aidha Mhe.Ndugage amesisitiza kasi zaidi iongezwe ili ifikapo tarehe 15/12/2021 vyumba vyote vya madarasa viwe vimekamilika.

Halmashauri ya Mji Masasi ilipokea jumla ya fedha TZS milioni 820 kutoka katika Mpango wa Maendeleo ya Jamii na Mapambano dhidi ya UVIKO 19 ambapo milioni 700 ni kwa ajili ya ujenzi wa vyumba 35 vya madarasa kwa shule za Sekondari, milioni 80 ni kwa ajili ya ujenzi wa bweni Shule ya Msingi Masasi kwa watoto wenye mahitaji maalum na milioni 40 ni kwa ajili ya ujenzi wa vyumba 2 vya madarasa kituo Shikizi kijiji cha Mkajamila.

Aidha Halmashauri ya Mji Masasi ilipokea TZS milioni 250 inayotokana na tozo za miamala kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha Afya cha kimkakati Kata ya Mtandi.

Ujenzi wa vyumba vya madarasa umefikia hatua mbalimbali ambapo jumla ya vyumba 26 vipo katika hatua ya upauji, vyumba 11 vipo katika hatua ya ukamilishaji, ujenzi wa bweni upo katika hatua ya msingi na kituo cha Afya upo katika hatua ya ujenzi wa kuta.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • “VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA MKOA WA MTWARA TUWEKE KIPAUMBELE CHA UTOAJI WA HUDUMA ZA TIBA OKOVU NA HUDUMA MSINGI KWA WAGONJWA MAHUTUTI” RAS MTWARA.

    May 15, 2025
  • “WANANCHI TUJITOKEZE MKOMAINDO HOSPITALI KUPATA VIPIMO NA MATIBABU YA SARATANI BURE, SERIKALI IMELIPIA GHARAMA (SAMIA SULUHU OUTREACH SERVICES)” DC KASSANDA

    April 23, 2025
  • HISTORIA YAANDIKWA MASASI MJI, ZAIDI YA MILIONI 545 ZATOLEWA MWAKA HUU WA FEDHA 204/2025 KWA VIKUNDI 105 MIKOPO YA ASILIMIA 10.

    April 07, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA MASASI MJI WATOA ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA UGONJWA WA MPOX

    April 06, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.