• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

MAONESHO YA NANENANE YAFUNGULIWA KANDA YA KUSINI LINDI NA MTWARA

Posted on: August 1st, 2023


Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi ,Mhe.Jumanne Sagini amehudhuria sherehe za ufunguzi wa Maonesho ya Nanenane Kanda ya Kusini kwa mikoa ya Lindi na Mtwara kwa mwaka 2023 katika viwanja vya Ngongo Mkoani Lindi kama mgeni Rasmi wa Ufunguzi wa maonesho hayo.

Ufunguzi huo umefanyika Agosti 1,2023 katika viwanja vya Nanenane Ngongo vilivyopo Mkoani Lindi.

Katika Maonesho hayo Mhe.Sagini ametembelea mabanda mbalimbali ya halmashauri eneo la Magereza,JKT na Tari Naliendele.mm

Akihutubia katika ufunguzi wake Mhe.Sagini amesema kuwa  uwanja wa  Ngongo ni uwanja wa Kimataifa ambacho ni cha Mfano wa kuigwa na maeneo Mengine pia ameusifu uwanja huo kuwa na miundombinu na Majengo bora.

“Uwanja wa Nanenane ni wa kimataifa na wakuigwa”Saginibb

Aidha ametoa pongezi kwa wakuu wa Mikoa yote miwili Lindi na Mtwara kwa kusimamia vizuri maandalizi ya Nanenane kanda ya kusini kwani maandalizi ni mazuri na yanavutia.

“Niwapongeze  wakuu wa Mikoa yote miwili kwa kusimamia maandalizi haya kwa uweledi uwanja umesheheni Miundombinu bora ,Mabanda ya kutosha na yenye muonekano Mzuri”Sagini

Maonesho ya Nanenane kanda ya kusini  yanajumuisha Mikoa miwili Lindi na Mtwara na yamefunguliwa Agost 1,2023 kilele chake Agost 8,2023.

Kauli Mbiu ya maonesho ya Nanenane 2023 kanda ya kusini inasema “Vijana na wanawake ni Msingi imara wa mifumo endelevu ya Chakula".

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA MJI MASASI 2025-2030

    December 03, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAMPONGEZA MKURUGENZI JICHABU UNUNUZI WA RTK NA KUPELEKA FEDHA ZA MAPATO YA NDANI KWENYE MIRADI YOTE ILIYOTENGEWA FEDHA 2025/2026

    December 02, 2025
  • MKUTANO WA KWANZA WA BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA MJI MASASI WAFANYIKA

    December 02, 2025
  • MPYA: HUDUMA ZA KIBINGWA KUTOLEWA MUDA WOTE HOSPITALI YA MKOMAINDO

    November 28, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.