• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

‘’KATANGAZENI FAHARI YA MASASI ‘’ BI. YEGELLA

Posted on: July 25th, 2023

Wawakilishi kutoka Halmashauri ya Enzkreis ya nchini Ujerumani wamesema zawadi mbalimbali walizopewa kama ishara ya Upendo zinaakisi asili ya Masasi na hivyo kusaidia kutangaza utalii na fahari ya Masasi katika Halmashauri  yao.

Akizungumza  Julai 25,2023 kwa niaba ya Enzkreis ,Dkt.Hilde amesema kuwa inawapa nguvu kuendeleza ushirikiano baina ya  halmashauri ya Mji Masasi na Halmashauri ya Enzkreis.

‘’Nina furaha sana kuwa nanyi hapa, zawadi hizi  zinatupa tabasamu ,furaha,Nguvu ya kujiamini na Nguvu ya kuendeleza Ushirikiano wetu miaka inayokuja lakini pia niwatakie heri’’ Dkt .Hilde

Aidha Marafiki hao walikabidhi hati za umeme wa jua (solar) Nne  kwenye Maeneo  ambayo utekelezaji wa Miradi hiyo umekamilika ambayo ni Marika Sekondari ,Anna Abdallah Sekondari, Chuo cha Maendeleo  ya Wananchi  FDC  na Zahati ya Nangose.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Mji Masasi Bi. Erica Yegella amekabidhi  zawadi kwa Marafiki wa Enzkreis kama Ishara ya upendo na kuimarisha uhusiano Mzuri na Zawadi ambazo zimetolewa ni pamoja na Maua ,Korosho,Vikombe na Vikapu.

‘’Tunakabidhi zawadi hizi kama ishara ya Upendo, Maua kama ishara ya Upendo wetu ,Korosho ni Biashara baina ya Halmashauri hizi mbili ,Vikapu kama ishara ya Asili na utamaduni wa Masasi, Vikombe vinatoa Ishara ya kuitangaza Halmashauri ya Mji Msasi na Picha zinataswira ya Mtoto wa kiafrika’’ Bi. Erica Yegella Mkurugenzi Mji Masasi.

Ushirikiano huo umeanza miaka 12 iliyopita ukijikita katika kuboresha Mazingira na Maisha ya wananchi wa Masasi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • “VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA MKOA WA MTWARA TUWEKE KIPAUMBELE CHA UTOAJI WA HUDUMA ZA TIBA OKOVU NA HUDUMA MSINGI KWA WAGONJWA MAHUTUTI” RAS MTWARA.

    May 15, 2025
  • “WANANCHI TUJITOKEZE MKOMAINDO HOSPITALI KUPATA VIPIMO NA MATIBABU YA SARATANI BURE, SERIKALI IMELIPIA GHARAMA (SAMIA SULUHU OUTREACH SERVICES)” DC KASSANDA

    April 23, 2025
  • HISTORIA YAANDIKWA MASASI MJI, ZAIDI YA MILIONI 545 ZATOLEWA MWAKA HUU WA FEDHA 204/2025 KWA VIKUNDI 105 MIKOPO YA ASILIMIA 10.

    April 07, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA MASASI MJI WATOA ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA UGONJWA WA MPOX

    April 06, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.