• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

FURSA KUBWA KWA WAFANYABIASHARA MASASI.

Posted on: July 27th, 2023

Mkurugenzi wa Halmashauri ya  Mji Masasi bi. Erica Yegella  julai 27,2023 amefanya kikao na wafanyabiashara wa Soko la Matunda Jida (Tandale) kikao ambacho kimehudhuriwa na wakuu wa Idara , Viongozi wa NMB  bank na wafanyabiashara wa Soko hilo lengo la Kikao hicho ni kutoa Elimu ya biashara na mikopo kwa wafanyabiashara ambapo ofisi Mkurugenzi  imetoa dhamana kwa wafanyabiashara hao.

Bi. Erica ameeleza kuwa kila mfanyabiashara mwenye kizimba , leseni ya biashara na anaelipa ushuru wa Halmashauri atapewa Mkopo bila "

yule ambaye atakuwa anamiliki kizimba na amelipa ushuru wa Halmashauri na anahitaji Mkopo NMB bank atapewa mkopo bila dhamana ,dhamana yake itakuwa kizimba na leseni ya Halmashauri" Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Masasi bi.Erica Yegella.


Kwa upande wake Meneja wa NMB bank Ndg.Davis Minja amesema kuwa Mikopo ambayo itatolewa itaitwa Mikopo ya Machinga  Loan na mikopo hiyo itakuwa na bima ya sh 10,000  bima hiyo itamsaidia pale  ambapo wizi utatokea ,Mafuriko NMB watarudisha Mtaji kwa mfanyabiashara.

"Tutarudisha Mtaji wako pale tuu changamoto ya wizi ikitokea ,Mafuriko bank ya NMB tutakupa Mtaji wako "


Wafanyabiashara wa Soko hilo wamemshukuru Mkurugenzi wa Mji Masasi Bi. Erica Yegella kwa kushirikiana na bank ya @nmbtanzania kuwasogezea fursa ya mikopo nafuu ambayo haina Masharti Makubwa kwani itakuja kuwakomboa katika uendeshaji wa biashara zao.


"Tunamshukuru mama bi.Erica Yegella kwa kutupambania wafanyabiashara wa soko hili kwani mama ni mkombozi wetu ,hii Mikopo itakuja kutuongezea Mitaji yetu tuwe na biashara kubwa ambazo tutapata faida ili kuweza kuendesha Maisha yetu na watoto wetu"wafanyabiashara


Aidha Davis ameeleza kuwa bank ya NMB ipo kwa ajili ya kuwakomboa wananchi  na inagusa nyanja zote ambazo watu wengi watakuwepo kama vile Elimu pamoja Mazingira.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • “VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA MKOA WA MTWARA TUWEKE KIPAUMBELE CHA UTOAJI WA HUDUMA ZA TIBA OKOVU NA HUDUMA MSINGI KWA WAGONJWA MAHUTUTI” RAS MTWARA.

    May 15, 2025
  • “WANANCHI TUJITOKEZE MKOMAINDO HOSPITALI KUPATA VIPIMO NA MATIBABU YA SARATANI BURE, SERIKALI IMELIPIA GHARAMA (SAMIA SULUHU OUTREACH SERVICES)” DC KASSANDA

    April 23, 2025
  • HISTORIA YAANDIKWA MASASI MJI, ZAIDI YA MILIONI 545 ZATOLEWA MWAKA HUU WA FEDHA 204/2025 KWA VIKUNDI 105 MIKOPO YA ASILIMIA 10.

    April 07, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA MASASI MJI WATOA ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA UGONJWA WA MPOX

    April 06, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.