• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

DC KANONI AWAPONGEZA WAZAZI MASASI MJI KWA KUWAPELEKA WATOTO WAO SHULE KWA WINGI

Posted on: March 21st, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Masasi Mhe. Lauteri John Kanoni amewapongeza wakazi wa Kijiji cha Makulani na wananchi wa Halmashauri ya Mji Masasi kwa ujumla kwa kutimiza wajibu wa kuwapeleka watoto wao shule kwa ajili ya kuanza kidato cha kwanza mwaka 2025 ikiwa ni matunda ya mikakati madhubuti ikiwemo mkataba na wazazi wa kuwapeleka watoto shule.


Mhe. Kanoni ametoa pongezi hizo Machi 21, 2025 katika mkutano na wananchi wa Kijiji cha Makulani ikiwa ni muendelezo wa kliniki za kusikilizaa na kutatua changamoto zinazowakabili wananchi.

Akizungumza katika mkutano huo, Mhe. Kanoni amewapongeza wananchi wa Kijiji cha Makulani na Halmashauri ya Mji Masasi kwa ujumla kwa jitihada walizozifanya kuhakikisha kuwa wanafunzi waliofaulu kwenda kidato cha kwanza wanaripoti shule walizopangiwa kwani Elimu ni kipaumbele namba moja.

‘’Mpaka sasa wanafunzi 2105 kati ya wanafunzi 2107 wamesharipoti katika shule walizopangiwa kwa ajili ya masomo ya kidato cha kwanza’’ aliongeza Dc Kanoni.

Kwa upande wake, Diwani wa Kata ya Sululu Mhe. Rashid Liundi amemshukuru Mkuu wa Wilaya kwa kuwatembelea kwa ajili ya kutatua changamoto zao , mbunge wa Jimbo la Masasi Mjini Mhe. Geoffrey Mwambe na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutatua changamoto za madarasa, zahanati na uhaba wa madawati katika kata hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • “WANANCHI TUJITOKEZE MKOMAINDO HOSPITALI KUPATA VIPIMO NA MATIBABU YA SARATANI BURE, SERIKALI IMELIPIA GHARAMA (SAMIA SULUHU OUTREACH SERVICES)” DC KASSANDA

    April 23, 2025
  • HISTORIA YAANDIKWA MASASI MJI, ZAIDI YA MILIONI 545 ZATOLEWA MWAKA HUU WA FEDHA 204/2025 KWA VIKUNDI 105 MIKOPO YA ASILIMIA 10.

    April 07, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA MASASI MJI WATOA ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA UGONJWA WA MPOX

    April 06, 2025
  • .STANDI YA MAEGESHO YALETA FURSA KWA WANANCHI MASASI.

    March 22, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.