• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

BONANZA LA KIRAFIKI KATI YA WATUMISHI WA HALMASHAURI ZA MIJI NANYAMBA NA MASASI LAFANA

Posted on: November 9th, 2019

Zaidi ya Watumishi 200 kutoka Halmashauri ya Mji Masasi na Nanyamba leo Jumamosi wameshiriki kwenye Bonanza la Michezo lililofanyika kwenye Uwanja wa Boma Masasi Mjini. Bonanza hilo lilikuwa na lengo la kudumisha  mahusisano mema kazini, Kujenga ushirikiano  na mshikamano, na kuwaweka Watumishi  wa Umma katika afya njema ili kuepuka magonjwa nyemelezi.

Bonanza hilo lilihusisha michezo ya Mpira wa Miguu, Mpira wa Pete (Netball), Mpira wa wavu (Volleyball), Kuvuta kamba, Kufukuza kuku, na Kukimbia kwa kutumia gunia.

Katika bonanza hilo ambalo lilionekana kuwa na upinzani mkubwa kutokana na umahiri mkubwa uliooneshwa na wachezaji wa michezo mbalimbali kutoka kwenye Halmashauri zote mbili, matokeo ya mpira wa miguu Halmashauri ya Mji Masasi waliibuka kidedea baada ya kushinda goli mbili bila, Mpira wa Pete (Netball) Halmashauri ya Mji Masasi pia waliibuka washindi baada ya kuwafunga Halmashauri ya Mji Nanyamba kwa magoli 25 kwa 5, Kwenye mpira wa wavu (Volleyball) nako Halmashauri ya Mji Masasi waliibuka na ushindi wa seti mbili bila dhidi ya Halmashauri ya Mji Nanyamba, mchezo wa kuvuta kamba ambao uliwashindanisha wanawake peke yao Halmashauri ya Mji Masasi walibeba ushindi;  Wakati Halmashauri ya Mji Nanyamba wakiibuka washindi kwenye kufukuza kuku na kukimbia ndani ya gunia (Wanaume), Halmashauri ya Mji Masasi wanawake waliibuka kidedea  kwenye kukimbia ndani ya gunia.

Akifungua Bonanza hilo kwa niaba ya Mkurugenzi wa Mji Masasi, Ndugu Richard Boniface Didas ambaye ni Afisa Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Mji Masasi aliwashukuru Watumishi wa Halmashauri zote mbili hususani Halmashauri ya Mji Masasi ambao walikuwa wenyeji kwa kujitokeza kwa wingi na kuwahimiza kufanya mazoezi mara kwa mara kwa ajili ya kujenga, kulinda na kuimarisha afya zao. Alikazia ya kwamba  mazoezi kwa Watumishi wa Umma na Wananchi kwa ujumla kila Jumamosi ya pili ya kila mwezi ni agizo la Mheshimiwa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan linalotakiwa kutekelezwa kwa vitendo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • “VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA MKOA WA MTWARA TUWEKE KIPAUMBELE CHA UTOAJI WA HUDUMA ZA TIBA OKOVU NA HUDUMA MSINGI KWA WAGONJWA MAHUTUTI” RAS MTWARA.

    May 15, 2025
  • “WANANCHI TUJITOKEZE MKOMAINDO HOSPITALI KUPATA VIPIMO NA MATIBABU YA SARATANI BURE, SERIKALI IMELIPIA GHARAMA (SAMIA SULUHU OUTREACH SERVICES)” DC KASSANDA

    April 23, 2025
  • HISTORIA YAANDIKWA MASASI MJI, ZAIDI YA MILIONI 545 ZATOLEWA MWAKA HUU WA FEDHA 204/2025 KWA VIKUNDI 105 MIKOPO YA ASILIMIA 10.

    April 07, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA MASASI MJI WATOA ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA UGONJWA WA MPOX

    April 06, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.