• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA MJI MASASI LIMERIDHIA NA KUPITISHA BAJETI YA BILIONI 25.9 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026.

Posted on: February 12th, 2025

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Mji Masasi limejadili na kuidhinisha rasimu ya mapendezo ya mpango na bajeti ya Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2025/2026  ambapo Halmashauri hiyo inakadiria kupokea na kutumia jumla ya Tsh. 25,987,919,626.27.

Akizungumza katika mkutano wa Baraza la Madiwani la kujadili na kupitisha bajeti hiyo Februari 12, 2025, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Masasi Mhe. Hashim Namtumba amesema  bajeti hiyo imezingatia mapendezo yote muhimu ya waheshimiwa madiwani na hivyo itakwenda kutatua changamoto mbalimbali za wananchi.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Masasi Ndg. Reuben Sixbert Jichabu amesema katika jitihada za kuongeza mapato ya ndani, katika mwaka wa fedha 2025/2026 wametenga bajeti ya ujenzi wa ghala la kuhifadhia mazao, kuboresha mazingira kwa kununua gari la majitaka, ununuzi wa kifaa cha upimaji wa ardhi (RTK) sambamba na kuboresha miundombinu ya shule, kuwezesha wananchi kiuchumi,kuboresha miundombinu ya kutolea huduma za afya.

Akiwasilisha rasimu ya bajeti hiyo kwa niaba ya Mkurugenzi wa Mji, Kaimu Mkuu wa divisheni ya Mipango na Uratibu Halmashauri ya Mji Masasi, Ndg. Petro Marwa  amesema katika kipindi cha Julai 2025  hadi Juni  2026 Halmashauri ya Mji Masasi inatarajia  kukusanya, kupokea na kutumia jumla ya shilingi 25,987,919,646.27  kutoka katika vyanzo mbalimbali vya mapato.

Amesema Kati ya kiasi  hicho Shilingi 5,582,087,256.07 ni ruzuku ya maendeleo ambapo kiasi cha Shilingi  1,996,867,952.56 ni ruzuku ya maendeleo kwa vyanzo vya ndani (Development Local) na Shilingi  3,959,289,256.07 ni ruzuku ya maendeleo kwa vyanzo vya nje (Development Foreign). Kiasi cha shilingi 15,452,240,000.00 ni kwa ajili ya mishahara ya watumishi na Shilingi  1,454,463,000.00 ni matumizi mengineyo.

Amesema vyanzo hivyo ni mapato ya ndani shilingi 3,499,129,390, matumizi mengineyo shilingi  1,040,957,000, Mishahara-shilingi 15,452,240,000, Miradi ya maendeleo (Serikali kuu na Wahisani) shilingi  5,582,087,256.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • “VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA MKOA WA MTWARA TUWEKE KIPAUMBELE CHA UTOAJI WA HUDUMA ZA TIBA OKOVU NA HUDUMA MSINGI KWA WAGONJWA MAHUTUTI” RAS MTWARA.

    May 15, 2025
  • “WANANCHI TUJITOKEZE MKOMAINDO HOSPITALI KUPATA VIPIMO NA MATIBABU YA SARATANI BURE, SERIKALI IMELIPIA GHARAMA (SAMIA SULUHU OUTREACH SERVICES)” DC KASSANDA

    April 23, 2025
  • HISTORIA YAANDIKWA MASASI MJI, ZAIDI YA MILIONI 545 ZATOLEWA MWAKA HUU WA FEDHA 204/2025 KWA VIKUNDI 105 MIKOPO YA ASILIMIA 10.

    April 07, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA MASASI MJI WATOA ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA UGONJWA WA MPOX

    April 06, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.