• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

MKURUGENZI NDG. JICHABU AWAASA MAAFISA BAJETI KUZINGATIA VIPAUMBELE VYA UTOAJI WA HUDUMA BORA KWA WANANCHI

Posted on: November 27th, 2025

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Masasi Ndg. Reuben Sixbert Jichabu amewaasa Maafisa Bajeti kuhakikisha wanazingatia vipaumbele na uhalisia katika maandalizi ya bajeti ili kuboresha utekelezaji wa miradi na utoaji wa huduma bora kwa wananchi kwa ufanisi.

Ameyasema hayo Novemba 27, 2025 wakati wa mafunzo kwa wakuu wa Idara na Vitengo na Maafisa bajeti wa Halmashauri yaliyofanyika katika ukumbi wa Halmashauri yakilenga kuwajengea uwezo Maafisa Bajeti ili waweze kuandaa na kusimamia mipango ya fedha kwa usahihi, uwazi na ufanisi.

Aidha amesema kuwa ni muhimu bajeti kuandaliwa kwa kuzingatia hali halisi ya mahitaji, vipaumbele vya wananchi na miongozo ya Serikali, ili kuepuka upangaji wa shughuli ambazo hazitekelezeki kutokana na ukosefu wa rasilimali.

Naye, mratibu wa mafunzo hayo na Kaimu Mkuu wa Idara ya Mipango na Uratibu, Ndg. Petro Marwa amesema kuwa mafunzo hayo ni muhimu katika kuhakikisha maandalizi ya bajeti yanafanyika kwa ufanisi na kwa kuzingatia miongozo ya Serikali.

Aidha amesisitiza kuwa kupitia mafunzo hayo, washiriki wataweza kuhakikisha rasilimali za Serikali zinapangwa na kutumika ipasavyo kwa ajili ya kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi sambamba na kuimarisha uwajibikaji na matumizi sahihi ya rasilimali za umma kwa manufaa ya wananchi.





Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI NDG. JICHABU AWAASA MAAFISA BAJETI KUZINGATIA VIPAUMBELE VYA UTOAJI WA HUDUMA BORA KWA WANANCHI

    November 27, 2025
  • "TUTAENDELEA KUIMARISHA ZAIDI USHIRIKIANO WETU NA ENZKREIS" NDG. JICHABU

    November 24, 2025
  • RIPOTI ZA MIRADI

    November 18, 2025
  • MSIMAMIZI WA UCHAGUZI ATANGAZA MATOKEO YA NAFASI YA UBUNGE JIMBO LA MASASI MJINI.

    October 31, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.