• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

MAFUNDI UJENZI WAMEITIKA, KABLA YA KUJENGA TUNAULIZA KIBALI CHA UJENZI, MKURUGENZI NDG. JICHABU AZUNGUMZA NAO

Posted on: September 1st, 2025

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Masasi Ndg. Reuben Sixbert Jichabu leo Septemba 01, 2025 amekutana na kuzungumza na mafundi ujenzi wote wa Halmashauri ya Mji Masasi kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo vibali vya ujenzi na hamasa ya mafundi hao kujiunga na mfumo wa Manunuzi (NeST) ili kuweza kupata tenda mbalimbali za Serikali.

Akizungumza na mafundi waliojitokeza kwa wingi katika ukumbi mkubwa wa Jengo la Utawala amesema ni muhimu mafundi ujenzi kuwakumbusha wamiliki wa nyumba wanazojenga kukata “KIBALI CHA UJENZI” Halmashauri ya Mji Masasi kwa kuwa ni takwa la kisheria.

“Tumewaita mafundi na kuwapa elimu hii ili mnapopewa kazi za ujenzi, kabla ya kuanza kujenga muwakumbushe wamiliki wa hizo nyumba kwa kuwaomba kibali cha ujenzi, na muhimu copy ya kibali iwe site, hii ni kwasababu wananchi wengi wanajenga pasipo kuwa na kibali cha ujenzi, kwamfano tumepita kata mbalimbali ukienda kata ya Mkuti, tumetembelea nyumba zinazojengwa zaidi ya 200 lakini zenye vibali ni nyumba zaidi ya 10 tu..kwahiyo ni muhimu sisi kwenda kuwahimiza wamiliki kukata kibali cha ujenzi Halmashauri ya Mji Masasi” amesisitiza.


Wakizungumza watalaamu mbalimbali katika kikao hicho wamesema kibali cha ujenzi  kinapatikana kwa haraka bila changamoto zozote kwa kuwa kwa mujibu wa sheria kibali kinapatikana kuanzia siku 0-7 toka unapoomba kibali.

Kwa upande wao Mafundi ujenzi mbalimbali wamempongeza Mkurugenzi wa Mji kwa kuwaita na kuwapa elimu muhimu ya vibali vya ujenzi na mfumo wa NeST na kwamba watakwenda kuwahimiza wamiliki wa nyumba wanazojenga kuhakikisha wanakata kibali cha ujenzi ili waweze kuendelea na ujenzi.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II Halmashauri ya Mji wa Masasi

    September 17, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II Halmashauri ya Mji wa Masasi

    September 15, 2025
  • MAFUNDI UJENZI WAMEITIKA, KABLA YA KUJENGA TUNAULIZA KIBALI CHA UJENZI, MKURUGENZI NDG. JICHABU AZUNGUMZA NAO

    September 01, 2025
  • DC MASASI MHE. KASSANDA AKABIDHI ZAWADI KWA WAGONJWA HOSPITALI YA MKOMAINDO, ASEMA DKT SAMIA AMEWAPA TABASAMU KUPITIA “SAMIA BONANZA MASASI”

    June 15, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.