• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

Karibu katika website ya Halmashauri ya Mji wa Masasi

Halmashauri ya mji wa masasi ni miongoni mwa Halmashauri nane zinazounda mkoa wa mtwara na inatawaliwa na jimbo moja la Masasi ambapo Halmashauri ya mji ina jumla ya kata 14,tarafa 2,mitaa 58, vijiji 31 na vitongoji ni 150. Halmashauri ya mji Masasi ilianzishwa julai mwaka 2012, Halmashauri ya mji Masasi ina eneo la kilometa za mraba zipatazo 400.Halmashauri hii ilizaliwa kutokana na Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, ambayo kabla ya kuwa Halmashauri ya Mji, kama ilivyo matakwa ya kisheria, ilipitia hatua za takribani mwaka mmoja kuwa na hadhi ya Mamlaka ya Mji Mdogo wa Masasi. Sheria iliyounda na inayoongoza utendaji wa Halmashauri hii ni Sheria ya Halmashauri za Mitaa (Mamlaka za Mji), Sura ya 288, ya mwaka 2002. Idadi ya wakazi Kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012 Halmashauri inakadiriwa kuwa na idadi ya watu wapatao 102,696 kati yao wanaume ni 49,111 na wanawake ni 53,585 ambapo asilimia kubwa ya wakazi wa mji wa masasi wanategemea shughuli za kilimo kwa ajili ya kujipatia chakula na kipato ambapo wengine hujishughulisha na shughuli mbalimbali kama biashara na ajira katika sekta ya umma. Utawala Halmashauri ya mji wa masasi ni miongoni mwa Halmashauri saba zinazounda mkoa wa mtwara na inatawaliwa na majimbo mawili ya Lulindi pamoja na masasi mjini ambapo Halmashauri ya mji ina jumla ya kata 14,tarafa 2,mitaa 59, vijiji 30 na vitongoji ni 143. Shughuli za kiuchumi Shughuli za kiuchumi kwa wakazi wa Halmashauri ya mji wa masasi zimegawanyika katika Nyanja mbalimbali ikiwemo biashara na kilimo ambapo mazao makuu ya biashara ni pamoja na ufuta, karanga, choroko, korosho, njugumawe na mbaazi ambapo kwa upande wa mazao ya chakula ni mahindi, mtama, mpungapamoja na mihogo.Kwa ujumla Mkulima wa Masasi mjini ni mkulima mdogo anayetumia jembe la mkono na ambaye anapata tija ndogo kutokana na uwekezaji anaoufanya katika ardhi, nguvukazi na fedha.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • “VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA MKOA WA MTWARA TUWEKE KIPAUMBELE CHA UTOAJI WA HUDUMA ZA TIBA OKOVU NA HUDUMA MSINGI KWA WAGONJWA MAHUTUTI” RAS MTWARA.

    May 15, 2025
  • “WANANCHI TUJITOKEZE MKOMAINDO HOSPITALI KUPATA VIPIMO NA MATIBABU YA SARATANI BURE, SERIKALI IMELIPIA GHARAMA (SAMIA SULUHU OUTREACH SERVICES)” DC KASSANDA

    April 23, 2025
  • HISTORIA YAANDIKWA MASASI MJI, ZAIDI YA MILIONI 545 ZATOLEWA MWAKA HUU WA FEDHA 204/2025 KWA VIKUNDI 105 MIKOPO YA ASILIMIA 10.

    April 07, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA MASASI MJI WATOA ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA UGONJWA WA MPOX

    April 06, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.