• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

“ PIGENI KAZI” DC KANONI

Posted on: August 4th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Masasi Mhe. Lauter John Kanoni amewataka watumishi wapya wa Halmashauri ya Mji Masasi kufanya kazi kwa bidii, ufanisi na uzalendo ili kutimiza malengo ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Amesema uzalendo unakwenda sambamba na uvumilivu wa mazingira yoyote ya kazi hivyo wanatakiwa kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na miongozo ya kazi ili kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi.

Mhe. Kanoni amesema hayo Agosti 4, 2023 katika kikao cha watumishi wapya wa halmashauri ya Mji Masasi kilichoandaliwa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Masasi Bi. Erica Yegella kwa  lengo la kuzungumza na waajiriwa wapya wa halmashauri hiyo.

“Pigeni kazi, kikubwa ni kuvumilia katika hali yoyote hasa kipindi cha mwanzo wa ajira, muhimu zaidi ni kumshukuru Rais wetu Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa  kutoa ajira nyingi,” Dc Kanoni

Aidha amesema Serikali inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imezidi kutoa ajira nyingi kwa watanzania hivyo ni muhimu waajiriwa kuwa mabalozi bora wa Rais katika utendaji wao wa kazi.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Masasi, Bi. Erica Yegella amesema kama kiongozi ataendelea kuhakikisha maslahi ya watumishi wote wa ngazi zote yanazingatiwa na kutekelezwa.

Amesema ni muhimu kwa kila mtumishi kutekeleza wajibu wake kwa kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na miongozo mbalimbali.

Katika kikao hicho, Bi. Yegella amepiga marufuku tabia ya watumishi wote kukaa sehemu ambazo sio rasmi (korido) badala yake mtumishi akifika kazini aende moja kwa moja kutekeleza majukumu ya kazi yake.

“Kuna tabia ya watumishi kufika ofisini asubuhi saa moja na nusu na kukaa kwenye korido huku wakiongea, nimepiga marufuku, ukifika ofisini nenda moja kwa moja ofisini kwako katekeleze majukumu yako, kama ni vikao vifanyike ndani ya ofisi sio kwenye korido”, Mkurugenzi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • “VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA MKOA WA MTWARA TUWEKE KIPAUMBELE CHA UTOAJI WA HUDUMA ZA TIBA OKOVU NA HUDUMA MSINGI KWA WAGONJWA MAHUTUTI” RAS MTWARA.

    May 15, 2025
  • “WANANCHI TUJITOKEZE MKOMAINDO HOSPITALI KUPATA VIPIMO NA MATIBABU YA SARATANI BURE, SERIKALI IMELIPIA GHARAMA (SAMIA SULUHU OUTREACH SERVICES)” DC KASSANDA

    April 23, 2025
  • HISTORIA YAANDIKWA MASASI MJI, ZAIDI YA MILIONI 545 ZATOLEWA MWAKA HUU WA FEDHA 204/2025 KWA VIKUNDI 105 MIKOPO YA ASILIMIA 10.

    April 07, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA MASASI MJI WATOA ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA UGONJWA WA MPOX

    April 06, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.