• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

OR-TAMISEMI YAFURAHISHWA NA UBORA WA UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA HOSPITALI YA MKOMAINDO

Posted on: July 11th, 2024

Mkurugenzi wa Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Dkt. Rashid Mfaume amefurahishwa na kuipongeza Hospitali ya Halmashauri ya Mji Masasi ya Mkomaindo kwa ubora na weledi wa watalaamu wa Afya katika utoaji wa huduma za Afya. 

Ametoa pongezi hizo leo Julai 11, 2024 katika ziara ya kutathmini na kukagua ubora wa utoaji wa huduma za Afya katika vituo vya kutolea huduma za Afya wanayoendelea kuifanya katika Mikoa yote Nchini. 

“ Lengo la ziara yetu ni kuangalia Je uwekezaji ambao Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameufanya kama unaendana na huduma ambazo wananchi wanazipata kwa viwango vilivyowekwa na Wizara ya Afya au kimataifa kama Shirika la Afya Duniani. Tunatembelea mikoa yote, leo tumeingia katika mkoa wa 22, Mtwara na hapa tupo katika Hospital ya Halmashauri ya Mji Masasi, Hospitali ya Mkomaindo, tunatazama uwekezaji huu mkubwa kama unaleta matokea tarajiwa hasahasa EMD na ICU, Hapa Hospitali ya Mji Masasi Mkomaindo niseme tu tumekuwa na furaha sana kama TAMISEMI, tumeona kwa vitendo, watumishi wamepata mafunzo na wanayatumia kwa ufasaha sana, nilivyowatathmini hata tukisema twende hospitali za Rufaa, watumishi wa Mkomaindo mtatumia hizi mashine kwa ufasaha sana ngazi za rufaa, hongereni sana.” Amesema.

Katika zoezi za kukagua na kufanya tathimini Mkurugenzi huyo, ameongoza zoezi la kupima kwa vitendo ufasaha wa watalaamu wa Afya katika kutumia vifaa na kuhudumia wagonjwa wa dharula, huku akiahidi kuwatumia watumishi wa Mkomaindo kuwajengea uwezo watumishi wa maeneo mengine ndani ya Mkoa na Nchini. 

“Tumefanya kwa vitendo kwa mimi kuwa mgonjwa, mmeeleza vizuri kwa kuzingatia standard zote, tumevutiwa sana na tunaamini huu uwekezaji unaofanyika ulete matokea chanya kama Hospitali ya Mkomaindo, Hospitali ya Masasi unavyofanya kazi, Hongereni sana, mganga mfawidhi, Mganga Mkuu wa Halmashauri na Mganga Mkuu wa Mkoa”.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • “VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA MKOA WA MTWARA TUWEKE KIPAUMBELE CHA UTOAJI WA HUDUMA ZA TIBA OKOVU NA HUDUMA MSINGI KWA WAGONJWA MAHUTUTI” RAS MTWARA.

    May 15, 2025
  • “WANANCHI TUJITOKEZE MKOMAINDO HOSPITALI KUPATA VIPIMO NA MATIBABU YA SARATANI BURE, SERIKALI IMELIPIA GHARAMA (SAMIA SULUHU OUTREACH SERVICES)” DC KASSANDA

    April 23, 2025
  • HISTORIA YAANDIKWA MASASI MJI, ZAIDI YA MILIONI 545 ZATOLEWA MWAKA HUU WA FEDHA 204/2025 KWA VIKUNDI 105 MIKOPO YA ASILIMIA 10.

    April 07, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA MASASI MJI WATOA ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA UGONJWA WA MPOX

    April 06, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.