• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

WARATIBU ELIMU NA WALIMU WAKUU WAPIGWA MSASA MASASI

Posted on: December 13th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Masasi iliyopo Mkoani Mtwara Mh.Claudia Kitta amesema kuwa  ni lazima Walimu watambue wajibu wao wa kuhakikisha wanatekeleza  shughuli ipasavyo katika suala zima la utoaji wa elimu kwa kufuata ratiba za muda wa masomo ya kipindi,kuwajibika na kujiandaa na kuwa wabunifu katika ufundishaji na kuzalisha wahitimu wenye maarifa.

Mh. Kitta ameyasema hayo katika mafunzo ya siku tatu yanayotolewa na ADEM ambayo yanafanyika katika ukumbi wa shule ya Sekondari ya wasichana Masasi [Masasi Girls] ambapo yameudhuriwa na Maafisa Elimu kata,Walimu wakuu wa shule za Msingi na Sekondari.

‘’mafunzo hayo yakwenda kuwaongezea umahiri katika uongozi, kusimamia, kufuatilia na kutathimini utekelezaji wa maelekezo ya Serikali ya kutoa huduma ya elimu vile inavyopaswakwa kufuata  miongozo inayotolewa na kwamba  pamoja na miongozo hiyo bado yamekuwa yakihitaji kupata mafunzo kama hayo ili kuboresha utendaji kazi’’Alisisitiza Kitta.

Alfonce Amuri ambaye ni Naibu Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu ADEM amesema lengo la kuendesha mafunzo hayo ni kujenga uelewa kwa Walimu wakuu pamoja na Maafisa Elimu Kata ili kuimarika katika usimamizi wa Rasilimali za shule.‘’nia ya Serikali  ni kuendelea kuboresha mazingira ya utoaji wa elimu katika taasisi za elimu ikiwemo Shule za Msingi na Sekondari kama ilivyofanya’’ Alisema Amuri.

Na kwa upande wa walimu pamoja Maafisa Elimu Kata kutoka Wilaya ya Nanyumbu,Masasi Tc na Masasi Dc wameeleza kufurahishwa kwao na mpango wa Serekali ya Mkoa wa Mtwara kwa kuandaa mafunzo kutoka Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu ADEM na kueleza kwamba watakwenda kuyafanyia kazi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • “VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA MKOA WA MTWARA TUWEKE KIPAUMBELE CHA UTOAJI WA HUDUMA ZA TIBA OKOVU NA HUDUMA MSINGI KWA WAGONJWA MAHUTUTI” RAS MTWARA.

    May 15, 2025
  • “WANANCHI TUJITOKEZE MKOMAINDO HOSPITALI KUPATA VIPIMO NA MATIBABU YA SARATANI BURE, SERIKALI IMELIPIA GHARAMA (SAMIA SULUHU OUTREACH SERVICES)” DC KASSANDA

    April 23, 2025
  • HISTORIA YAANDIKWA MASASI MJI, ZAIDI YA MILIONI 545 ZATOLEWA MWAKA HUU WA FEDHA 204/2025 KWA VIKUNDI 105 MIKOPO YA ASILIMIA 10.

    April 07, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA MASASI MJI WATOA ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA UGONJWA WA MPOX

    April 06, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.