• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

WALIMU WA AWALI WAPEWA MAFUNZO YA MTAALA WA ELIMU ULIOBORESHWA KUPITIA MRADI WA BOOST

Posted on: January 12th, 2025

Walimu wa awali Halmashauri ya Mji Masasi wamepewa mafunzo juu ya Matumizi ya njia na utengenezaji wa zana za kufundishia zitakazosaidia kwenye utekelezaji wa Mtaala wa Elimu ya Awali ulioboresha kupitia Mradi wa Boost.

Mafunzo hayo yamefanyika kuanzia Januari 9, 2025 hadi Januari 12, 2025 katika Shule ya Msingi Mkomaindo yakilenga kwenye matumizi ya njia na vifaa vilivyoboreshwa vya mtaala wa elimu ya awali.

Akizungumza katika mafunzo hayo, Afisa Elimu Msingi wa Halmashauri ya Mji Masasi, Bi. Hamida Msemo amewataka walimu wa awali kutumia zana hizo ipasavyo ili ziweze kuleta tija na matokeo yanayoridhisha huku akiwasisitiza kuhakikisha wanafunzi wote wanaoingia darasa la kwanza waweze kusoma, kuandika na kuhesabu kama ambavyo mwongozo unataka.

Naye, Mwezeshaji wa Mafunzo hayo na Mkufunzi kutoka Chuo Cha Ualimu Vikindu Bi.Naomi Mjema amesema kuwa lengo la mafunzo hayo ni kuongeza umahiri katika kutekeleza Mtaala ulioboreshwa na muhtasari wa elimu ya awali pamoja na kupitia miongozo mbalimbali ya Elimu ya awali.

Kwa upande wake, Mratibu wa Mradi wa Boost Halmashauri ya Mji Masasi Bi. Felister Chikomele amesema kuwa lengo la mradi huo wa boost ni kujenga msingi mzuri wa watoto kuanzia chini  ambapo watoto watanufaika kupitia walimu waliopata mafunzo hayo  ambao watasaidia wanafunzi kuingia darasa la kwanza wakiwa na uwezo wa kuandika, kusoma na kuhesabu.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • “VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA MKOA WA MTWARA TUWEKE KIPAUMBELE CHA UTOAJI WA HUDUMA ZA TIBA OKOVU NA HUDUMA MSINGI KWA WAGONJWA MAHUTUTI” RAS MTWARA.

    May 15, 2025
  • “WANANCHI TUJITOKEZE MKOMAINDO HOSPITALI KUPATA VIPIMO NA MATIBABU YA SARATANI BURE, SERIKALI IMELIPIA GHARAMA (SAMIA SULUHU OUTREACH SERVICES)” DC KASSANDA

    April 23, 2025
  • HISTORIA YAANDIKWA MASASI MJI, ZAIDI YA MILIONI 545 ZATOLEWA MWAKA HUU WA FEDHA 204/2025 KWA VIKUNDI 105 MIKOPO YA ASILIMIA 10.

    April 07, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA MASASI MJI WATOA ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA UGONJWA WA MPOX

    April 06, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.