• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

MKURUGENZI NDG. JICHABU AZUNGUMZA NA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYABIASHARA SOKO LA MKUTI, AHIMIZA KULIPA KODI KWA WAKATI

Posted on: November 27th, 2025

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Masasi Ndg. Reuben Sixbert Jichabu ameongoza mkutano wa hadhara na wafanyabiashara wa soko la Mkuti Novemba 27, 2025.

Akizungumza katika mkutano huo, amehimiza kuhusu suala la usafi na udhibiti taka hususani kuhusu ulipaji wa gharama za uzoaji wa taka kwenye maeneo ya biashara iliyobadilika kutoka shilingi 200 hadi shilingi 300 kwa siku kwenye maeneo ya biashara kutoka Julai 2025 kutokana na gharama za huduma za uzoaji taka.

Aidha amewahimiza wafanyabiashara kulipa kodi ya pango la Halmashauri kwa wakati na mara baada ya kupokea changamoto kutoka kwa wafanyabiashara ya kukosa muda wa kufika Halmashauri, amewaahidi kusogeza huduma karibu kwa kufungua ofisi ndogo ya kutoa control number za malipo kwa wafanyabiashara katika soko la Mkuti.

Wakizungumza wafanyiabashara katika mkutano huo, wamesema suala la kufungua ofisi ndogo ya kulipia tozo mbalimbali katika soko hilo ni jambo kubwa, jema na lakupongezwa kwa kuwa watakuwa na uwezo wa kuendelea kupunguza madeni na kulipa kwa wakati.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • MPYA: HUDUMA ZA KIBINGWA KUTOLEWA MUDA WOTE HOSPITALI YA MKOMAINDO

    November 28, 2025
  • MKURUGENZI NDG. JICHABU AZUNGUMZA NA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYABIASHARA SOKO LA MKUTI, AHIMIZA KULIPA KODI KWA WAKATI

    November 27, 2025
  • MKURUGENZI NDG. JICHABU AWAASA MAAFISA BAJETI KUZINGATIA VIPAUMBELE VYA UTOAJI WA HUDUMA BORA KWA WANANCHI

    November 27, 2025
  • "TUTAENDELEA KUIMARISHA ZAIDI USHIRIKIANO WETU NA ENZKREIS" NDG. JICHABU

    November 24, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.