• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

MILIONI 644,750,000.00 ZA TEKELEZA MIRADI SEKTA YA AFYA,NA ELIMU MASASI MJI.

Posted on: December 14th, 2022

Mkurugenzi  Halmashauri  ya  Mji Masasi Elias Ntiruhungwa  November 14,2022  amefanya kikao na Madiwani ,watendaji wa  kata ,Maafisa Elimu kata ,na Wakuu wa Shule wa Maeneo ambako Miradi  inatekelezwa  ya Sekta ya Elimu ,Afya chenye lengo la kutoa Maelekezo ya awali kuhusu mapokezi ya Fedha kiasi cha Shilingi Milioni Mia sita arobaini na Nne laki saba na hamsini (644,750,000.00) kutoka Serikali kuu  kwa ajili ya utekelezaji wa Miradi mbalimbali katika kata zao.

Katika kikao hicho Ntiruhungwa alitoa Mchanganuo wa fedha hizo kwa kila Eneo la Mradi  na Mradi ambao utatekelezwa kutokana na Fedha hizo na kuwaomba  kila Afisa Mtendaji kata kwenda kufanya kikao na wananchi wake katika Maeneo yao kwa ajili ya kuwapa Taarifa ya Mapokezi ya Fedha hizo  na Matumizi yake ili kuondoa changamoto mbalimbali ambazo huwa zinajitokeza kipindi cha utekelezaji wa Miradi.

Frenk Malanjila Diwani kata ya Temeke  Halmashauri ya Mji Masasi kwa niaba ya Madiwani  wote ametoa pongezi na Shukrani kwa Mh Samia Suluhu Hassan  kwa kuwaptia fedha hizo kwa ajili ya utekelezaji wa Miradi  kwa sekta ya Elimu,Afya na Utawala ameahidi kuwa wataenda kuzisimamia kuhakikisha Miradi inakamlika .

Kwa upande wake Kaimu Mkuu Idara ya ujenzi Ombeni Usiri amewaomba maafisa watendaji kata kwenda kusimamia Miradi hiyo kwa  kila hatua ya Ujenzi kuanzia Michoro hadi hatua ya mwisho ili tuweze kufanikiwa kwa asilimia mia moja ya Utekelezaji .Aidha Mkurugenzi ametoa agizo kwa wasimamizi hao kwenda kuhamasisha wananchi  kujitolea nguvu kazi   wakati wa utekelezaji wa Miradi  yao  ili kurahisha kukamilika kwa haraka  kwani anawaamini ni Viongozi wenye uweledi katika kusimamia Miradi na hawajawahi kumuangusha.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • “VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA MKOA WA MTWARA TUWEKE KIPAUMBELE CHA UTOAJI WA HUDUMA ZA TIBA OKOVU NA HUDUMA MSINGI KWA WAGONJWA MAHUTUTI” RAS MTWARA.

    May 15, 2025
  • “WANANCHI TUJITOKEZE MKOMAINDO HOSPITALI KUPATA VIPIMO NA MATIBABU YA SARATANI BURE, SERIKALI IMELIPIA GHARAMA (SAMIA SULUHU OUTREACH SERVICES)” DC KASSANDA

    April 23, 2025
  • HISTORIA YAANDIKWA MASASI MJI, ZAIDI YA MILIONI 545 ZATOLEWA MWAKA HUU WA FEDHA 204/2025 KWA VIKUNDI 105 MIKOPO YA ASILIMIA 10.

    April 07, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA MASASI MJI WATOA ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA UGONJWA WA MPOX

    April 06, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.