• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

MAKALA: RAIS SAMIA NA MABADILIKO SEKTA YA AFYA MASASI MJI, WANANCHI ZAIDI YA 30,000 WANANUFAIKA NA KITUO CHA AFYA MTANDI, BARAZA LA WAZEE LAPONGEZA UBORA WA HUDUMA.

Posted on: July 16th, 2024

Mradi wa Kituo cha afya Mtandi umehusisha ujenzi wa miundombinu ya kutolea huduma za afya ikiwemo jengo la Opd, maabara, tanuru la kuchomea taka , jengo la upasuaji, jengo la kujifungulia na jengo la kufulia ambapo jumla ya Tsh milioni 500 zilitolewa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Rais Dkt, Samia Suluhu Hassan.

Kituo cha afya Mtandi kilianza rasmi kutoa huduma tarehe 10/1/2023 mara baada ya kusajiliwa kikiwa na madaktari, wauguzi na manesi.

Ujenzi wa kituo cha afya Mtandi umetekelezwa kwa awamu mbili. Awamu ya kwanza ilianza baada ya kupokea jumla ya Tsh 250,000,000 ambazo zilijenga maabara, OPD, na ujenzi wa tanuru la kuchomea taka na awamu ya pili Halmashauri  ilipokea Tsh milioni 250, 000,000/= kwa ajili ya jengo la upasuaji, jengo la kujifungulia na jengo la kufulia.

Kituo hicho kina vifaa tiba vya kisasa na bora, Serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan imetoa jumla ya Tsh milioni 350 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa tiba ambavyo vinatumika na bado vinaendelea kuletwa katika kituo hicho.

Ujenzi wa kituo cha afya Mtandi umepunguza adha ya wananchi kwenda umbali mrefu kupata huduma za afya. Takribani wananchi zaidi ya 30,000 kutoka ndani ya kata ya Mtandi na maeneo jirani ya kata za Mkuti, Jida, Napupa, Marika na Chanika nguo wanapata huduma katika kituo hiki.

Utoaji wa huduma za afya katika kituo cha afya Mtandi, ubora na vifaa tiba vya kisasa vimeendelea kuwashangaza wengi ikiwemo Kamati ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ilipofika katika kituo hicho lakini pia Julai 15, 2024 Baraza la Wazee Masasi katika ziara yao Mbunge limeendelea kushangazwa na ubora wa kituo hicho huku likimpongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha za Ujenzi wa Kituo hicho cha kisasa na Mbunge wa Jimbo la Masasi Mjini kwa jitihada za kuhakikisha  wananchi wanapata huduma sambamba Baraza la Madiwani kwa kuhakikisha utekelezaji wa mradi huo unakuwa na Manufaa kwa wananchi.  

Wakizungumza Katika ziara hiyo, wamesema mabadiliko waliyoyashuhudia ni yakistoria na kuwaomba wananchi wafike katika kituo cha Afya Mtandi kujionea wenyewe maboresho hayo makubwa ambayo hajayawahi kutokea kwa miaka mingi.  

“Kwakweli katika ziara hii, tumefarijika sana kwa juhudi zake na usimamizi wake, Wito wangu wananchi wengine waje katika kituo hiki, ebu waje waonei ilivyobora, ilivyokuwa na mambo ya kisasa na yakuridhisha na sisi Masasi tusiite masasi, napenda tuiite (New Masasi) kwa maana ya Masasi, niwaombe wananchi wasiishie kusikia tu, waje wajionee wenyewe), Wamesema.  

Akizungumza katika ziara hiyo, Mhe Mwambe amesema mageuzi mbalimbali yamefanyika kuanzia majengo na vifaa tiba ili wananchi wa Masasi waweze kunufaika na huduma hizo.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Masasi, Mhe. Hashim Namtumba amesema kazi kubwa imefanyika katika maboresho hayo kilichobaki ni kubadili fikra na mitazamo kwa wananchi ambao bado wanamitazamo hasi za huduma za miaka ya zamani. 

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Masasi Ndg. Reuben Sixbert Jichabu anatoa shukrani  za dhati kwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha nyingi na kuleta watumishi wa afya katika halmashauri ya Mji.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • “VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA MKOA WA MTWARA TUWEKE KIPAUMBELE CHA UTOAJI WA HUDUMA ZA TIBA OKOVU NA HUDUMA MSINGI KWA WAGONJWA MAHUTUTI” RAS MTWARA.

    May 15, 2025
  • “WANANCHI TUJITOKEZE MKOMAINDO HOSPITALI KUPATA VIPIMO NA MATIBABU YA SARATANI BURE, SERIKALI IMELIPIA GHARAMA (SAMIA SULUHU OUTREACH SERVICES)” DC KASSANDA

    April 23, 2025
  • HISTORIA YAANDIKWA MASASI MJI, ZAIDI YA MILIONI 545 ZATOLEWA MWAKA HUU WA FEDHA 204/2025 KWA VIKUNDI 105 MIKOPO YA ASILIMIA 10.

    April 07, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA MASASI MJI WATOA ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA UGONJWA WA MPOX

    April 06, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.