• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

MAFUNZO YA MFUMO WA UHASIBU NA UTOAJI TAARIFA ZA FEDHA KWA NGAZI YA KITUO CHA KUTOLEA HUDUMA.

Posted on: June 8th, 2017

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Masasi Bi, Mwajabu Mkindi amewahimiza Waratibu Elimu

Kata na Waganga wa Vituo vya Afya kusikiliza kwa makini Mafunzo yanayotolewa ili wawe Walimu

Wazuri kwa Watumishi ambao wataenda kuwafundisha mara baada ya kumaliza Mafunzo haya.

Mgeni Rasmi aliyasema hayo Wakatio wa Ufunguzi wa Mafunzo ya UHASIBU NA UTOAJI TAARIFA KWA

NGAZI YA VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA Mafunzo ambayo yametafanyika kwa siku mbili katika ukumbi

wa Migongo Misheni.

Mgeni rasmi alisisitiza kuwa kuundwa kwa Mfumo Huu kutasidia kuhakikisha fedha za ruzuku

zinasimamiwa vizuri na taarifa za matumizi yake zinatolewa kwa usahihi, tofauti na ilivyokuwa mwanzo.

Vilevile ni kweli kuwa kumekuwa na changamoto ya upatikanaji wa taarifa sahihi za raslimali fedha

zilizopo katika vituo vyetu vya kutoa huduma, na hivyo Halmashauri kushindwa kutoa taarifa sahihi za

matumizi ya ruzuku zinazotolewa katika vituo hivyo na wakati mwingine husababisha Halmashauri

husika kupata hati ya mashaka kutoka kwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za serikali (CAG).

Mfumo huu mpya sasa utasaidia kuhakikisha kunakuwa na muundo maalum wa kuhifadhi Taarifa za

Mapato na Matumizi, na hivyo kuongeza Uwazi na Uwajibikaji wa vituo vya kutolea huduma na hivyo

kupunguza changamoto mbalimbali zilizokuwa zinajitokeza.

Pia mgeni rasmi alikumbusha matumizi ya Tovuti za Halmashauri katiak kuweka taarifa zote za Mapato

na Matumizi ya Fedha za umma. Suala Hili ni maelekezo ya Serikali, na kila mmoja wetu anapaswa

kutekeleza.

Mwisho mgeni rasmi aliwashukuru watu wa marekani kupitia Shirika la maendeleo ya Kimataifa la

Marekani ( USAID), pamoja na Mradi wa PS3, na Wadau wote waliohakikisha Mfumo huu unakuwepo,

ambao ni :Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, (OR-TAMISEMI), Wizara ya Fedha na

Mipango;Wizara Elimu,Sayansi,Technolojia na Ufundi , na Wizara ya Afya , Maendeleo ya Jamii, Jinsia,

Wazee na Watoto.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • “VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA MKOA WA MTWARA TUWEKE KIPAUMBELE CHA UTOAJI WA HUDUMA ZA TIBA OKOVU NA HUDUMA MSINGI KWA WAGONJWA MAHUTUTI” RAS MTWARA.

    May 15, 2025
  • “WANANCHI TUJITOKEZE MKOMAINDO HOSPITALI KUPATA VIPIMO NA MATIBABU YA SARATANI BURE, SERIKALI IMELIPIA GHARAMA (SAMIA SULUHU OUTREACH SERVICES)” DC KASSANDA

    April 23, 2025
  • HISTORIA YAANDIKWA MASASI MJI, ZAIDI YA MILIONI 545 ZATOLEWA MWAKA HUU WA FEDHA 204/2025 KWA VIKUNDI 105 MIKOPO YA ASILIMIA 10.

    April 07, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA MASASI MJI WATOA ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA UGONJWA WA MPOX

    April 06, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.