• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

KAMATI YA SIASA CCM MKOA WA MTWARA YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO MASASI MJI

Posted on: January 7th, 2025

Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mtwara ikiongozwa na Mwenyekiti wake Ndg. Said Nyengedi leo Januari 7, 2025 imetembelea miradi ya maendeleo iliyopo Halmashauri ya Mji Masasi na kuridhishwa na utekelezaji wa miradi hiyo. 

 Akizungumza wakati wa ziara hiyo Ndg. Nyengedi ameipongeza Halmashauri ya Mji Masasi kwa usimamizi mzuri wa miradi hiyo na kuwataka wananchi kuunga mkono jitihada zinazofanywa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili kufikia malengo yaliyo kusudiwa huku akiwataka wananchi  kutunza miradi hiyo.

Naye, Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Kanali Patrick Sawala ametoa pongezi zake za dhati kwa usimamizi mzuri wa miradi hiyo na kuzitaka Halmashauri zingine kuiga mfano mzuri uliooneshwa na Halmashauri ya Mji Masasi ili kuleta chachu ya maendeleo.

Miradi iliyotembelewa na kamati hiyo ni pamoja na ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Kata Matawale  yenye thamani ya Tsh milioni 560 kutoka Serikali  Kuu kupitia mradi wa SEQUIP, Ujenzi wa Maegesho ya Magari Makubwa Mwengemtapika wenye thamani ya zaidi ya milioni 100 kutoka  mapato ya ndani , Ujenzi wa  Vyumba vitatu vya Madarasa na Matundu sita ya vyoo Shule ya Msingi Mkuti B  wenye thamani ya Tsh milioni 83,200,000  kutoka  Serikali kuu kupitia mradi wa BOOST na Ukamilishaji wa Ujenzi wa Bweni shule ya wanafunzi wenye mahitaji Maalumu Masasi, Milioni 50  kutoka mapato ya ndani

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • “VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA MKOA WA MTWARA TUWEKE KIPAUMBELE CHA UTOAJI WA HUDUMA ZA TIBA OKOVU NA HUDUMA MSINGI KWA WAGONJWA MAHUTUTI” RAS MTWARA.

    May 15, 2025
  • “WANANCHI TUJITOKEZE MKOMAINDO HOSPITALI KUPATA VIPIMO NA MATIBABU YA SARATANI BURE, SERIKALI IMELIPIA GHARAMA (SAMIA SULUHU OUTREACH SERVICES)” DC KASSANDA

    April 23, 2025
  • HISTORIA YAANDIKWA MASASI MJI, ZAIDI YA MILIONI 545 ZATOLEWA MWAKA HUU WA FEDHA 204/2025 KWA VIKUNDI 105 MIKOPO YA ASILIMIA 10.

    April 07, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA MASASI MJI WATOA ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA UGONJWA WA MPOX

    April 06, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.