• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

KAMATI YA BUNGE YATEMBELEA NA KUKAGUA KITUO CHA AFYA MTANDI.

Posted on: November 13th, 2023

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Dennis Londo imefanya ziara ya kutembelea na kukagua miradi ya ujenzi wa miundombinu katika vituo vya kutolea huduma za afya mkoani Mtwara.

Kamati hiyo imeanza ziara yake kwa kupokea taarifa ya maendeleo ya Mkoa ya miradi ya ujenzi wa miundombinu katika vituo vya kutolea huduma za afya pamoja na kutembelea kituo cha afya cha Mtandi halmashauri ya Mji Masasi Novemba 13, 2023.

Kamati hiyo imepokea taarifa ya maendeleo ya Mkoa ya miradi ya ujenzi wa miundombinu ya kutolea huduma za afya kutoka kwa Katibu Tawala wa Mkoa Bi. Bahati Geuzye katika ukumbi wa Jengo la utawala Halmashauri ya Mji Masasi.

Akitoa taarifa ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo, Bi. Bahati amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwezesha utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya kimkakati kama kiwanja kikubwa cha ndege cha kisasa kilichokarabatiwa kwa fedha kiasi cha Tsh bilioni 56, bandari ya Mtwara iliyopanuliwa kwa kujengewa gati jipya na kuwekwa vifaa vya kisasa, ujenzi wa barabara yenye urefu wa Kilomita 210,  Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini na miradi mbambali ya vituo vya kutolea huduma za afya.

Aidha kamati hiyo imekagua ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje OPD, Maabara na kichomea taka katika kituo cha afya Mtandi Halmashauri ya Mji Masasi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA MJI MASASI 2025-2030

    December 03, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAMPONGEZA MKURUGENZI JICHABU UNUNUZI WA RTK NA KUPELEKA FEDHA ZA MAPATO YA NDANI KWENYE MIRADI YOTE ILIYOTENGEWA FEDHA 2025/2026

    December 02, 2025
  • MKUTANO WA KWANZA WA BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA MJI MASASI WAFANYIKA

    December 02, 2025
  • MPYA: HUDUMA ZA KIBINGWA KUTOLEWA MUDA WOTE HOSPITALI YA MKOMAINDO

    November 28, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.