• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

HALMASHAURI YA MJI MASASI KUPITIA IDARA YA AFYA YAENDESHA MAFUNZO KWA WANACHUO WA CHUO CHA MAENDELEO YA WANANCHI MASASI (FDC) JUU YA KUJIKINGA NA COVID-19

Posted on: June 1st, 2020

Na Kitengo cha Habari na Mawasiliano – Masasi Mji

Wataalamu kutoka Idara ya Afya Halmashauri ya Mji Masasi wameendesha mafunzo kwa Wanachuo wa Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Masasi leo hii ili kuwapa muongozo uliotolewa na Wizara ya Afya na Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia kwa ajili ya vyuo na taasisi nyingine za kielimu juu ya kujikinga na virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa COVID-19. 

Wataalamu hao ambao waliongozwa na Mratibu wa Huduma za afya Shuleni Bi Theresia Moyo, walijikita kutoa Elimu kwa wanafunzi hao zaidi ya 150 juu ya namna ya uvaaji sahihi wa barakoa, unawaji wa mikono kwa kutumia maji yanayotiririka na matumizi ya vitakasa mikono mara kwa mara.

Wanachuo hao ambao wamefungua Chuo leo hii ikiwa ni agizo lililotolewa na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Joseph Magufuli, la kufungua vyuo na shule za sekondari kwa wanafunzi wa kidato cha sita.

Baadhi ya Wanachuo wa Chuo cha Maendeleo Masasi (FDC) wakifuatilia kwa makni mafunzo kutoka kwa Wataalamu wa afya (Hawapo pichani).

Akitoa neno la Shukrani kwa wataalamu hao, Mkuu wa Chuo hicho Ndugu Halfan Bashiri Mshana aliwashukuru wataalamu hao kwa kutenga muda na kufika chuoni hapo ili kutoa elimu hiyo muhimu kwa wanachuo hao ambao ndio kwanza wamerejea chuoni hapo kutoka kwao.

Alitumia fursa hiyo kuwajulisha wanachuo hao ya kwamba ili kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19, yapo mabadiliko kadhaa ambayo watayaona chuoni hapo ikiwa ni pamoja na upokeaji wa chakula kwa awamu kufuatana na ratiba ambayo imeandaliwa, ulalaji ambapo ili kupunguza msongamano mabwenini vipo vyumba vya madarasa kadhaa ambavyo vitageuzwa kuwa mabweni, lakini pia upo utaratibu mpya wa kupata masomo kwa awamu ambako kutasababisha vipindi kuishia saa 11 jioni badala ya utaratibu ambao wanachuo hao wameuzoea wa vipindi vya kuisha saa 8 na nusu mchana.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • “VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA MKOA WA MTWARA TUWEKE KIPAUMBELE CHA UTOAJI WA HUDUMA ZA TIBA OKOVU NA HUDUMA MSINGI KWA WAGONJWA MAHUTUTI” RAS MTWARA.

    May 15, 2025
  • “WANANCHI TUJITOKEZE MKOMAINDO HOSPITALI KUPATA VIPIMO NA MATIBABU YA SARATANI BURE, SERIKALI IMELIPIA GHARAMA (SAMIA SULUHU OUTREACH SERVICES)” DC KASSANDA

    April 23, 2025
  • HISTORIA YAANDIKWA MASASI MJI, ZAIDI YA MILIONI 545 ZATOLEWA MWAKA HUU WA FEDHA 204/2025 KWA VIKUNDI 105 MIKOPO YA ASILIMIA 10.

    April 07, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA MASASI MJI WATOA ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA UGONJWA WA MPOX

    April 06, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.