• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

DC MASASI AHITIMISHA ZA MAADHIMISHO YA UHURU KWA KUTOA ZAWADI ZA WASHINDI WA UANDISHI WA INSHA

Posted on: December 14th, 2022

Mkuu wa wilaya ya Masasi Claudia Kita ametoa zawadi mbalimbali kwa washindi wa michezo mbalimbali na uandishi wa insha iliyoandaliwa na wilaya hiyo katika kuadhimisha kumbukumbu ya Uhuru wa Tanganyika leo Desemba 9 ,2022.

Shamra shamra hizo zimehitimishwa kwenye uwanja wa shule ya sekondari ya wasichana (Masasi Girls) Jioni ya leo ambapo kwa upande wa mpira wa miguu timu ya MANAWASA imeweza kuibuka washindi wa kwanza  Timu ya chuo Cha Maendeeleo (FDC) imeshila Nafasi ya Pili huku timu ya Watumishi ikishika nafasi ya tatu.Kwa upande wa Uandishi wa Insha shule ya msingi Chiungutwa ilifanya vizuri na kwa upande wa shule za sekondari shule ya Masasi kutwa waliibuka washindi huku washindi wa kufukuza kuku,kuvuta kamba na michezo mingine nao walipata zawadi.

Dc Kita amewashuku wananchi na Watumishi wa wailaya hiyo kujitokeza kwa wingi pamoja na kushiriki kwenye shunguli mbalimbali za kijamii kama kufanya usafi,kupanda miti na hata michezo kuanzia Desemba 5 hadi leo Desemba 9 ambapo amewahimiza kuendelea kudumisha amani na utulivu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • TUSHIRIKIANE KUTOKOMEZA VITENDO VYA UKATILI DC MASASI

    March 08, 2023
  • ZINGATIENI MATUMIZI YA POS

    January 21, 2023
  • BARAZA LA MADIWANI LIMEPITISHA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 24 HALMASHAURI YA MJI MASASI.

    January 21, 2023
  • KIKAO CHA KAMATI YA USHAURI HALMASHAURI YA MJI MASASI (DCC)

    January 20, 2023
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.