• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

DAWA YA KUUA MAZALIA YA MBU YAPULIZWA KATIKA MAENEO MBALIMBALI MASASI MJI

Posted on: July 4th, 2024

Halmashauri ya Mji Masasi kupitia Divisheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe imeendesha zoezi la upuliziaji wa dawa ya kuua mazalia (viluilui) vya Mbu katika maeneo ambayo yanazalisha Mbu ikiwa ni katika kutekeleza kauli mbiu ya “Ziro Malaria inaanza na mimi”.

Hatua hiyo pia, ni utekelezaji wa maagizo ya Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2024 Ndg, Godfrey Mnzava aliyoyatoa kwa Halmashauri zote Nchini yaliyolenga kuhakikisha maeneo yote yenye mazalia ya Mbu yanapuliziwa dawa. 

Akizungumza wakati wa upuliziaji wa dawa katika eneo la bwawa lililopo soko la machinjio ya kuku, Kata ya Migongo kwa niaba ya Mganga Mkuu, Afisa Afya Halmashauri ya Mji Masasi, Bw. Christopher Ponela amesema zoezi hilo ni endelevu hususani katika maeneo yote yanayozalisha Mbu.

“Zoezi hili la kupuuliza dawa aina ya Griselesf kutoka TPBL Kibaha ni endelevu, maeneo yanayozalisha Mbu tumeyabaini yote, tumeanza hili zoezi na tutaendelea kwenye maeneo yote tuliyoyabaini ambayo Mbu anaweza akaa, akataga na akazaliana, kimsingi tunashukuru Serikali, Mkurugenzi wetu wa Halmashauri ya Mji Masasi na Mganga Mkuu kwa kufanikisha zoezi hili, litaleta tija ya kuondoa kabisa ugonjwa wa Malaria.

Naye, Mkazi wa Migongo, Bi. Yustina Vicent Mathias amesema zoezi hilo limewasaidia sana kupunguza mazalia ya Mbu kwa kiasi kikubwa na hivyo litakwenda kuwasaidia kumaliza kabisa mazalia ya Mbu katika maeneo yao. 

I

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA MJI MASASI 2025-2030

    December 03, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAMPONGEZA MKURUGENZI JICHABU UNUNUZI WA RTK NA KUPELEKA FEDHA ZA MAPATO YA NDANI KWENYE MIRADI YOTE ILIYOTENGEWA FEDHA 2025/2026

    December 02, 2025
  • MKUTANO WA KWANZA WA BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA MJI MASASI WAFANYIKA

    December 02, 2025
  • MPYA: HUDUMA ZA KIBINGWA KUTOLEWA MUDA WOTE HOSPITALI YA MKOMAINDO

    November 28, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.