• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe za Watumishi |
Masasi Town Council
Masasi Town Council

Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Ofisa Ya Rais Tawala Za Mikoa Na Serikali Za Mitaa Halmashauri ya Mji Masasi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
      • Mikakati
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Mipango miji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Ushirika
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Fedha
    • Machapisho
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Biashara
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Utawala na Utumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Mipango miji na mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Makataba ya Picha

Benki ya Dunia yapongeza kasi ya ujenzi Miradi ya Elimu Masasi Mji.

Posted on: August 22nd, 2019

Agosti 21,2019 Mkurugenzi wa Elimu Msingi Ndg.George Jidanva aliongoza ujumbe kutoka Ofisi ya Rais-TAMISEMI pamoja Benki ya Dunia katika ukaguzi wa miradi ya Elimu inayofadhiliwa na Benki ya Dunia kupitia programu ya EP4R Halmashauri ya Mji Masasi.

Katika ukaguzi huo wajumbe hao wametembelea miradi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa viwili (2), mabweni mawili (2) pamoja na matundu sita (6) ya vyoo  katika shule ya Sekondari Mtapika na shule ya Msingi ya Mfano  Kitunda yenye vyumba 17 vya madarasa, nyumba mbili za walimu (1/2), Maktaba, jengo la Utawala, Bwalo la chakula na vyoo matundu 34.

Ujenzi katika shule ya Sekondari Mtapika utagharimu jumla ya TZS 196, 600, 000.00 na Shule ya Msingi ya mfano Kitunda utagharimu TZS 706,400,000.00 hadi kukamilika.

Wakati wakitembelea shule ya Sekondari ya kutwa Mtapika na shule ya Msingi ya mfano Kitunda Mkurugenzi wa Elimu Msingi toka Ofisi ya Rais TAMISEMI Ndg.George Jidanva alimshuru Mkurugenzi wa Halmashuauri ya Mji Masasi Bi.Gimbana  Ntavyo kwa hatua nzuri ya ujenzi na  usimamizi mzuri wa fedha  za miradi ya ujenzi ya shule kama ilivyoelekezwa na serikali.

Naye Mkaguzi wa ndani toka Benki ya Dunia Ndg.Mwakiluma Mkundwa alitoa pongezi kwa uongozi wa Halmashauri  ya Mji  Masasi kwa hatua nzuri ya ujenzi waliofika hasa katika   shule ya Msingi ya Mfano Kitunda ikiwa ni  miongogoni mwa shule nne katika Tanzania zilizopewa fedha  nyingi kwa ajili ya ujenzi   na kuwa na nyaraka zote za manunnuzi zilizotumika katika manunuzi ya vifaa vya ujenzi.

Pia Afisa Manunuzi toka Benki ya Dunia  Ndg.Gisbert alimshukuru Mkurugenzi  Bi. Gimbana Ntavyo kwa miradi yote ya shule walizotembela na kusema “Sisi kama wadau wa maendeleo tunashukuru tunapoona mradi unafanyika kama ulivyopangwa”. 

Mwisho Mkurugenzi wa Mji Bi.Gimbana Ntavyo aliishukuru Serikali na wafadhili toka Benki ya Dunia kwa kuleta fedha katika ujenzi wa miundo mbinu ya shule hasa ujenzi wa shule ya Msingi ya mfano Kitunda.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 28, 2020
  • TANGAZO LA KAZI April 05, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Kuona Vyote

Habari Mpya

  • “VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA MKOA WA MTWARA TUWEKE KIPAUMBELE CHA UTOAJI WA HUDUMA ZA TIBA OKOVU NA HUDUMA MSINGI KWA WAGONJWA MAHUTUTI” RAS MTWARA.

    May 15, 2025
  • “WANANCHI TUJITOKEZE MKOMAINDO HOSPITALI KUPATA VIPIMO NA MATIBABU YA SARATANI BURE, SERIKALI IMELIPIA GHARAMA (SAMIA SULUHU OUTREACH SERVICES)” DC KASSANDA

    April 23, 2025
  • HISTORIA YAANDIKWA MASASI MJI, ZAIDI YA MILIONI 545 ZATOLEWA MWAKA HUU WA FEDHA 204/2025 KWA VIKUNDI 105 MIKOPO YA ASILIMIA 10.

    April 07, 2025
  • WATAALAMU WA AFYA MASASI MJI WATOA ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA UGONJWA WA MPOX

    April 06, 2025
  • Kuona Vyote

Video

SHERIA ZA MITANDAO
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Sheria ndogo ya Ada na Ushuru kwa Mji wa Masasi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Mtwara
  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Rais UTUMISHI
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • SALARY SLIPS PORTAL

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MASASI TOWN COUNCIL

    Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI

    Simu Ya Mezani: +255 23 2510685

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: info@masasitc.go.tz

Mawasiliano

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma Zetu

Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.