IDARA YA MAENDELEO YA JAMII
Idara ya Maendeleo ya Jamii ni Idara muhimu iliyopo ndani ya Halmashauri ya Mji Masasi. Idara hii ina vitengo mbalimbali vinavyofanya kazi. Vitengo hivyo ni :-
Kitengo cha Ustawi wa Jamii ni kitengo kinachofanya kazi za kuhudumia jamii kupitia programu mbalimbali za kijamii. Programu zilizopo chini ya Kitengo cha Ustawi wa Jamii ni
ANGALIZO:Kitengo hakina mamlaka kisheria kuvunja ndoa za watu,hivyo suluhu inaposhindwa kupatikana, Ofisi hupeleka shauri mahakamani ambapo kwa ajili ya ufumbuzi zaidi.
Kitengo cha kudhibiti UKIMWI ni kitengo kinachofanya kazi kwa kushirikiana na TACAIDS. Kazi kuu za kitengo hiki ni:-
Kitengo hiki kipo ili kusaidia kusaidia wanawake kuweza kujikwamua kiuchumi. Vikundi vya wanawake vilivyosajiliwa huweza kupatiwa mkopo. Ambapo kuna mkopo ambao hutoka moja kwa moja Wizarani kupitia Halmashauri ambapo wanawake ambao vikundi vyao vinakidhi vigezo ndio huweza kupewa mikopo.
Kuwaunganisha vijana ili waweze kuendesha shughuli zao za kiuchumi kupitia njia ya mikopo. Mikipo hii hitolewa na Halmashauri ,hivyo mara pale fungu linapokuwa tayari vijana ambao vikundi vyao vimesajiliwa huweza kupatiwa mikopo ili waweze kujikwamua kiuchumi.
MASASI TOWN COUNCIL
Anuani ya Posta: P.O BOX 447 MASASI
Simu Ya Mezani: +255 23 2510685
Simu ya Kiganjani:
Barua pepe: info@masasitc.go.tz
Haki Miliki@ Halmashauri ya Mji Masasi. Haki Zote Zimehifadhiwa.